Mifumo hii imeanza kutengenezwa 2013, sasa imekamilika. (Natafuta fedha ya kutengeneza mfumo Fulani imayotumia AI). Mifumo hii ya kuangalia matokeo unaweza kuiprogram kama chombo cha cassini...
Wale wakongwe wa ganda la ndizi rasmi jana wire tun waipiga pin kutoruhusu hata sumni ya data kutumika kaika internet haya tununue bando tukuze kipato cha nchi yetu.
Android ni mmoja wapo wa mfumo maarufu wa Uendeshaji wa simu unaotumika sana ambao umetengenezwa na Google.
Simu nyingi unazoziona Leo pamoja na kompyuta unazoziona sehemu mbalimbali zimetokana...
Ni rasmi sasa unaweza kutumia App original ya ChatGPT iliyoundwa na OpenAI na Microsoft.
Ikumbukwe Akili Unde hiyo ilikuwa ikipatikana katika Computer pekee.
Internet privacy company Proton announced Wednesday a new VPN Observatory, tracking demand for its services to detect attacks on free speech in countries like Russia and Iran before they hit the...
Kwenye miaka ya sabini, ndege zilizokuwa maarufu sana ni DC9 iliyokuwa inatengezwa na kampuni ya MacDonnel Douglas ya huko Missouri kabla haijanunuliwa na Boeing, na VC10 iliyokuwa inatengezwa na...
2023
2123 Watu wengi wamekuwa wakijiuliza dunia itakuwaje ndani ya miaka mia moja ijayo? Leo hii ni 2023, je maisha yatakuwaje mwaka 2123?
Huu ni utabiri kuhusu dunia itakavyokuwa miaka 100...
Wanajukwaa kwema? kama kichwa cha uzi kinavyosema, ni muda kidogo sijatembelea tovutu ya serikali yetu ya Tanzania, ikiwa na domain tanzania .go.tz.
Lengo la uzi nikutaka cha kwanza kupongeza...
Habar wataalamu.
Hivi hakuna namna hizi simu deni likikushinda ukafanya namna fulani uwapotezee uendelee kuitumia maana naona kama wananichanganya hivi
Kujua dunia inakwendaje ni Jambo la Muhimu maana kuna maamuzi juu ambayo yakitolewa ni lazima yaguse maisha ya kila moja wetu.
Maisha yanakua mabaya au mazuri zaidi hilo usiniulize utajaza...
Ndugu wana jamvi kama thread inavyojieleza,
Naomba mdau ambaye anatumia au ameishawahi kutumia tv aina hii, naomba aniambie mchanganyiko mzuri wa rangi
ili niweze kupata picha nzuri katika...
Samsung S23 Ultra inatarajiwa kutoka Februari mwaka huu na pia tetesi ni kwamba simu hiyo itakuja na kioo flat kabisa tofauti na ilivyo kwa toleo lililopita (Galaxy S22 Ultra)
Samsung Galaxy S22...
Habari wana JamiiForums, na wadau wa humu kwenye Tech & Gadgets Forum nimeona sio mbaya leo kushare basics za Graphics Design kwa wale ambao wanafanya hii kitu tayari au wale ambao wana interest...
The TRAPPIEST-1e is a terrestrial exoplanet that orbits within the habitable zone around the ultracool dwarf star. It was discoverd by Michaël Gillon et al. on February of 2017.
Similar to Earth's...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wadau.
Nimekuwa na simu yangu iphone 6, lakn ghafla juzi hapa, nilitoa kwenye charger but nilipoiplug in baada ya muda ikakataa kuwaka na kuchaji...
Habar za muda huu wakuu!. Kama inavyoonesha hapo juu kwa izo brand 3
1. SKYWORTH
2. TCL
3. HISENSE
nichague ipi kwa ajil ya matumiz yangu ya gheto .bajet yangu ni TV [emoji342] ya inchi 50...
Tumeona simu nyingi zinakufa betri (battery) kwa mda mfupi toka simu inunuliwe, hii inatokana na makosa ambayo tunafanya wakati wa kuchaji simu zetu.
Makosa gani na nini kifanyike?
Mara nyingi...
Mimi ni mdau mkubwa wa kusikiliza muziki kuna hii brand ya JBL nimeiona hawa wanamuziki muzuri Sana
Lakini nimevutiwa na HIZI model zao JBL flip 5 na JBL flip essential IPi Bora yenye muziki...