Samsung Galaxy S23 Ultra kuja na kioo flat tofauti na S22 Ultra

Reuben Challe

JF-Expert Member
Dec 10, 2021
2,761
5,039
Screenshot_20230101-173956.jpg

Samsung S23 Ultra inatarajiwa kutoka Februari mwaka huu na pia tetesi ni kwamba simu hiyo itakuja na kioo flat kabisa tofauti na ilivyo kwa toleo lililopita (Galaxy S22 Ultra)
Screenshot_20230101-174656.jpg

Samsung Galaxy S22 Ultra ilikuwa na curved screen yaani kioo chake kilikuwa curved na sio kila mtu atavutiwa na hii design.
galaxy-s22-ultra-screen-in-hand.jpg

Kumekuwa na malalamiko kuwa curved screen kwenye Samsung Galaxy S22 Ultra imepelekea ugumu katika kutumia S Pen kwenye display ya simu hiyo. Watumiaji wanasema kuwa wakati wa kutumia hiyo S Pen kwenye S22 Ultra basi peni ilitelezea kirahisi kuelekea kwenye edge za kioo cha simu.
Galaxy-S22-Ultra-and-S-Pen-Everything-you-need-to-know.jpg

Pia inasemekana kuwa vioo curved viko kwenye risk kubwa ya kupasuka simu itakapoanguka chini ukilinganisha na flat screens hivyo watumiaji wamelalamika na kudai warudishiwe flat screen. Kwenye muundo Samsung Galaxy S22 Ultra ina boxy design kama unavyoiona kwenye picha kwa hiyo hata S23 Ultra itakuwa na boxy design hivyohivyo tena hiyo itakuwa ni zaidi.
Screenshot_20230101-175804.jpg

Vioo curved pia vina advantage zake mojawapo ni kwamba zinasaidia kuboresha muonekano wa display kwa sababu simu inakuwa haina bezel kabisa.
gadgetmatch-20220208-samsung-galaxy-s22-ultra-19.jpg

Kitu kilichonivutia kwenye Samsung Galaxy S22 Ultra ni kwamba S Pen iko built-in kwenye simu yaani ukinunua unaikuta.
Samsung-Galaxy-S22-Ultra-May-Come-with-Built-in-S-Pen.jpg

Hii ni tofauti na kampuni kama Xiaomi ambao wao smart pen zao huwa zinauzwa kivyake, huzikuti kwenye boksi la simu.
Screenshot_20230101-180343.jpg
Xiaomi Stylus Pen ni nzuri lakini ingependeza kama ingekuwa inauzwa pamoja na simu. Kwa kuwa inauzwa peke yake basi bei ni kubwa, inafika hadi TSh 200,000/=
71onKkjAvtL.jpg

Pia siku hizi tumeona namna simu zenye curved display zilivyotrend hadi makampuni makubwa tofauti na Samsung yanatoa flagship zenye curved displays. Binafsi navutiwa na simu zenye curved displays kwa sababu appearance inakuwa kali sana..
Mfano wa simu za makampuni mengine makubwa ambazo zina curved displays ni
Google Pixel 7 Pro
Screenshot_20221231-124719.jpg

Xiaomi 13 Pro
Screenshot_20230101-181748.jpg

Oppo Find X5 Pro
oppo-find-x5-pro-apps-on-home-screen.jpg

Motorola Edge 30 Ultra
20220905_144553056_iOS.jpg

Vivo X90 Pro Plus
vivo-x90-pro-plus-12gb256gb-red.jpg

Acha mwaka uendelee, naona soon Samsung atakuja kutoa best phone in the world kwa muda kisha Xiaomi naye atatoa Xiaomi 13S Ultra na atamfunika Samsung naye iPhone atafanya hivyohivyo halafu mwaka utaisha
 
View attachment 2465828
Samsung S23 Ultra inatarajiwa kutoka Februari mwaka huu na pia tetesi ni kwamba simu hiyo itakuja na kioo flat kabisa tofauti na ilivyo kwa toleo lililopita (Galaxy S22 Ultra)View attachment 2465832
Samsung Galaxy S22 Ultra ilikuwa na curved screen yaani kioo chake kilikuwa curved na sio kila mtu atavutiwa na hii design.View attachment 2465836
Kumekuwa na malalamiko kuwa curved screen kwenye Samsung Galaxy S22 Ultra imepelekea ugumu katika kutumia S Pen kwenye display ya simu hiyo. Watumiaji wanasema kuwa wakati wa kutumia hiyo S Pen kwenye S22 Ultra basi peni ilitelezea kirahisi kuelekea kwenye edge za kioo cha simu. View attachment 2465841
Pia inasemekana kuwa vioo curved viko kwenye risk kubwa ya kupasuka simu itakapoanguka chini ukilinganisha na flat screens hivyo watumiaji wamelalamika na kudai warudishiwe flat screen. Kwenye muundo Samsung Galaxy S22 Ultra ina boxy design kama unavyoiona kwenye picha kwa hiyo hata S23 Ultra itakuwa na boxy design hivyohivyo tena hiyo itakuwa ni zaidi. View attachment 2465844
Vioo curved pia vina advantage zake mojawapo ni kwamba zinasaidia kuboresha muonekano wa display kwa sababu simu inakuwa haina bezel kabisa.View attachment 2465846
Kitu kilichonivutia kwenye Samsung Galaxy S22 Ultra ni kwamba S Pen iko built-in kwenye simu yaani ukinunua unaikuta.View attachment 2465848
Hii ni tofauti na kampuni kama Xiaomi ambao wao smart pen zao huwa zinauzwa kivyake, huzikuti kwenye boksi la simu.View attachment 2465849 Xiaomi Stylus Pen ni nzuri lakini ingependeza kama ingekuwa inauzwa pamoja na simu. Kwa kuwa inauzwa peke yake basi bei ni kubwa, inafika hadi TSh 200,000/=
View attachment 2465851
Pia siku hizi tumeona namna simu zenye curved display zilivyotrend hadi makampuni makubwa tofauti na Samsung yanatoa flagship zenye curved displays. Binafsi navutiwa na simu zenye curved displays kwa sababu appearance inakuwa kali sana..
Mfano wa simu za makampuni mengine makubwa ambazo zina curved displays ni
Google Pixel 7 ProView attachment 2465853
Xiaomi 13 ProView attachment 2465860
Oppo Find X5 ProView attachment 2465861
Motorola Edge 30 UltraView attachment 2465863
Vivo X90 Pro PlusView attachment 2465866
Acha mwaka uendelee, naona soon Samsung atakuja kutoa best phone in the world kwa muda kisha Xiaomi naye atatoa Xiaomi 13S Ultra na atamfunika Samsung naye iPhone atafanya hivyohivyo halafu mwaka utaisha
Bodo alisema inakuwa na Drone eti
 
View attachment 2465828
Samsung S23 Ultra inatarajiwa kutoka Februari mwaka huu na pia tetesi ni kwamba simu hiyo itakuja na kioo flat kabisa tofauti na ilivyo kwa toleo lililopita (Galaxy S22 Ultra)View attachment 2465832
Samsung Galaxy S22 Ultra ilikuwa na curved screen yaani kioo chake kilikuwa curved na sio kila mtu atavutiwa na hii design.View attachment 2465836
Kumekuwa na malalamiko kuwa curved screen kwenye Samsung Galaxy S22 Ultra imepelekea ugumu katika kutumia S Pen kwenye display ya simu hiyo. Watumiaji wanasema kuwa wakati wa kutumia hiyo S Pen kwenye S22 Ultra basi peni ilitelezea kirahisi kuelekea kwenye edge za kioo cha simu. View attachment 2465841
Pia inasemekana kuwa vioo curved viko kwenye risk kubwa ya kupasuka simu itakapoanguka chini ukilinganisha na flat screens hivyo watumiaji wamelalamika na kudai warudishiwe flat screen. Kwenye muundo Samsung Galaxy S22 Ultra ina boxy design kama unavyoiona kwenye picha kwa hiyo hata S23 Ultra itakuwa na boxy design hivyohivyo tena hiyo itakuwa ni zaidi. View attachment 2465844
Vioo curved pia vina advantage zake mojawapo ni kwamba zinasaidia kuboresha muonekano wa display kwa sababu simu inakuwa haina bezel kabisa.View attachment 2465846
Kitu kilichonivutia kwenye Samsung Galaxy S22 Ultra ni kwamba S Pen iko built-in kwenye simu yaani ukinunua unaikuta.View attachment 2465848
Hii ni tofauti na kampuni kama Xiaomi ambao wao smart pen zao huwa zinauzwa kivyake, huzikuti kwenye boksi la simu.View attachment 2465849 Xiaomi Stylus Pen ni nzuri lakini ingependeza kama ingekuwa inauzwa pamoja na simu. Kwa kuwa inauzwa peke yake basi bei ni kubwa, inafika hadi TSh 200,000/=
View attachment 2465851
Pia siku hizi tumeona namna simu zenye curved display zilivyotrend hadi makampuni makubwa tofauti na Samsung yanatoa flagship zenye curved displays. Binafsi navutiwa na simu zenye curved displays kwa sababu appearance inakuwa kali sana..
Mfano wa simu za makampuni mengine makubwa ambazo zina curved displays ni
Google Pixel 7 ProView attachment 2465853
Xiaomi 13 ProView attachment 2465860
Oppo Find X5 ProView attachment 2465861
Motorola Edge 30 UltraView attachment 2465863
Vivo X90 Pro PlusView attachment 2465866
Acha mwaka uendelee, naona soon Samsung atakuja kutoa best phone in the world kwa muda kisha Xiaomi naye atatoa Xiaomi 13S Ultra na atamfunika Samsung naye iPhone atafanya hivyohivyo halafu mwaka utaisha

kwa upande wa design samsung yuko league ya peke yake.
 
Naomba mwenye uelewa hapa anifafanulie Nini maana ya flagship, midrange na official brand me haya nayasikia tu Kwan Nini hasa kwenye bidhaa za simu?
Je Zina utofaut gan?
kwa ulewa wangu flagship ni zile simu za bei ya juu mfano s22ultra, Huawei mate 40-50,pixel70 n.k,midrange ni kama zile A series za samsung,,au xiaomi 9,10c n.k
 
kwa ulewa wangu flagship ni zile simu za bei ya juu mfano s22ultra, Huawei mate 40-50,pixel70 n.k,midrange ni kama zile A series za samsung,,au xiaomi 9,10c n.k
Bei ya simu kuwa juu sio kigezo kikuu cha simu kuwa Flagship.
Flagship ni simu ambayo kampuni husika imewekeza teknolojia na uwezo wake wote kuitengeneza na mwaka husika, na zinaweza na series maalum kwamba series fulani ni Flagship. Mfano Samsung Flagship zao ni note series na S series, kwa Xiaomi ni Mi na Xiaomi Series
 
Bei ya simu kuwa juu sio kigezo kikuu cha simu kuwa Flagship.
Flagship ni simu ambayo kampuni husika imewekeza teknolojia na uwezo wake wote kuitengeneza na mwaka husika, na zinaweza na series maalum kwamba series fulani ni Flagship. Mfano Samsung Flagship zao ni note series na S series, kwa Xiaomi ni Mi na Xiaomi Series
Midrange n nin?
 
Bei ya simu kuwa juu sio kigezo kikuu cha simu kuwa Flagship.
Flagship ni simu ambayo kampuni husika imewekeza teknolojia na uwezo wake wote kuitengeneza na mwaka husika, na zinaweza na series maalum kwamba series fulani ni Flagship. Mfano Samsung Flagship zao ni note series na S series, kwa Xiaomi ni Mi na Xiaomi Series
Vipi kuhusu midrange na official brand
 
Bei ya simu kuwa juu sio kigezo kikuu cha simu kuwa Flagship.
Flagship ni simu ambayo kampuni husika imewekeza teknolojia na uwezo wake wote kuitengeneza na mwaka husika, na zinaweza na series maalum kwamba series fulani ni Flagship. Mfano Samsung Flagship zao ni note series na S series, kwa Xiaomi ni Mi na Xiaomi Series
Sasa bei inawezaje kua juu ikiwa simu Haina technology kubwa au uwekezaj wa Hali ya juu?
 
kwa ulewa wangu flagship ni zile simu za bei ya juu mfano s22ultra, Huawei mate 40-50,pixel70 n.k,midrange ni kama zile A series za samsung,,au xiaomi 9,10c n.k
Kwa maana hiyo iphone zote n flagship coz bei zake n MOTo chini
 
Back
Top Bottom