Muonekano mpya tovuti ya serikali

Nijosnotes

Member
Aug 1, 2021
85
79
Wanajukwaa kwema? kama kichwa cha uzi kinavyosema, ni muda kidogo sijatembelea tovutu ya serikali yetu ya Tanzania, ikiwa na domain tanzania .go.tz.

Lengo la uzi nikutaka cha kwanza kupongeza muonekano mzuri wa tovuti kwasasa tofauti na hapo awali, pia kama mdau wa TEHAMA ni kukufahamisha kuwa tovuti hii inatumia framework ya ASP.NET(nimetaja hii framework kwasababu wadau wa TEHEMA wanaweza kuja namaoni yao pia hapa kuhusu tovuti hii)


La ziada, baada yakuuona muonekano huu mpya wa tovuti ya serikali nikajaribu kuchunguza na za mikoa, bado muonekano niuleule wa zamani na wanatumia CMS iitwayo OCTOBER.

Napia nikapata kuchunguza ndani zaidi tovuti hizi za mikoa zinafadhiliwa/tengenezwa na USAID na hii ya serikali na taasisi za umma zipo chini ya wizara ya habari na teknolijia ya habari.

Niishie hapa, nyama zaidi tutapata kwenye comments.



John Mahuwi
Computer Engineer.
 

Attachments

  • Screenshot_2023-07-29-17-42-39-36.jpg
    Screenshot_2023-07-29-17-42-39-36.jpg
    114.6 KB · Views: 7
Wanajukwaa kwema? kama kichwa cha uzi kinavyosema, ni muda kidogo sijatembelea tovutu ya serikali yetu ya Tanzania, ikiwa na domain tanzania .go.tz.

Lengo la uzi nikutaka cha kwanza kupongeza muonekano mzuri wa tovuti kwasasa tofauti na hapo awali, pia kama mdau wa TEHAMA ni kukufahamisha kuwa tovuti hii inatumia framework ya ASP.NET(nimetaja hii framework kwasababu wadau wa TEHEMA wanaweza kuja namaoni yao pia hapa kuhusu tovuti hii)


La ziada, baada yakuuona muonekano huu mpya wa tovuti ya serikali nikajaribu kuchunguza na za mikoa, bado muonekano niuleule wa zamani na wanatumia CMS iitwayo OCTOBER.

Napia nikapata kuchunguza ndani zaidi tovuti hizi za mikoa zinafadhiliwa/tengenezwa na USAID na hii ya serikali na taasisi za umma zipo chini ya wizara ya habari na teknolijia ya habari.

Niishie hapa, nyama zaidi tutapata kwenye comments.



John Mahuwi
Computer Engineer.
Tanzania nchi yangu, serikali ni yetu, CCM yao
 
eGA sasa hivi wata tumia php backend and angular, templates wana nunua themeforests.

"Napia nikapata kuchunguza ndani zaidi tovuti hizi za mikoa zinafadhiliwa/tengenezwa na USAID" hapa unamaanisha kwa msaada wa USAID au USAID ni wamedeveop?, embu thibitisha
 
eGA sasa hivi wata tumia php backend and angular, templates wana nunua themeforests.

"Napia nikapata kuchunguza ndani zaidi tovuti hizi za mikoa zinafadhiliwa/tengenezwa na USAID" hapa unamaanisha kwa msaada wa USAID au USAID ni wamedeveop?, embu thibitisha
Shukrani kwahyo taarifa ya eGA. USAID ni kwa msaada, na uzinduzi watovuti hizi za mikoa ulifanyika mwaka 2017
 
Shida kubwa ni mifumo haisomani mfano nalipa Ela kwenye system inanilazimu niandike tena muhutasari uende banki kupitia kwa mkurugenzi sasa haya maujinga si Bora tutumie karatasi tu
 
Back
Top Bottom