Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu habari ya nyie, kuna hiki ki redio nimeombwa msaada hapa kukirekebisha, kina shida moja. Waya ule wa speaker vile vidogo (Sijui ndo wanaviita twitter), pale kwenye ki tobo unapoingia...
0 Reactions
13 Replies
678 Views
HABARI ZA MDA HUU NATUMAI UZIMA UPO Napenda nikuekeze kuhusu hii proJect ya MTFE ambayo imekua maarufu sana na watu wengi hawaiJui pia pamoJa na umarufu wake. Kwanza kabisa kirefu cha MTFE...
4 Reactions
20 Replies
11K Views
Habari wanajf.. Poleni na majukum. Naombeni kusaidiwa.. Friji langu halipozi tena zaidi tu linakula umeme kuliko kawaida. Naombani msaada wenu.. Nini tatizo hasa?
1 Reactions
51 Replies
36K Views
Habari wakuu, Msaada jinsi gani naweza kukoleza maneno yawe ya rangi tofauti na nyeusi ndani ya JF Mfano: JamiiForums liwe na rangi nyingine kama nyekundu au bluu Nawasilisha:
1 Reactions
46 Replies
3K Views
Wadau najiuliza kwann siku izi computer nyingi unakuta storage yake ni 256 yaan imekuwa common Unakuta mashine ina processor kubwa ila storage ndogo. Watalaam naomba mnijuze
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Jinsi ya kudownload na kuinstall aina yoyote ya whatsapp kwa android version 4.4.4. Shukran
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Wenye Yahoo Mail mnapata tatizo kama langu la kuto login?
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Baada ya kuona 5G imejitokeza siku ya leo, nikaamua kufanya speed test kuona uhalali wake. Bundle iliosha kabla speed test kumalizika. Top speed ilifika kwenye 528Mbps Download. Upload sikutest...
18 Reactions
75 Replies
7K Views
Wakuu tukutane hapa kujuzana mambo matamu ya Samsung Galaxy S9.... Leo tarehe 25 itazinduliwa rasmi huko Barcelona!! Inasemekana hii simu itakuwa ni balaa na itaendelea kukimbiza kama ilivyofanya...
0 Reactions
47 Replies
10K Views
Wakuu, nimepata google adsense lakini sipati ads kwa sababu ya lugha nifanye nini ku switch toka Swahili to English? Blog yangu ni ya Kiswahili, sasa baada wao kureview inaleta ujumbe wa kutopata...
0 Reactions
4 Replies
970 Views
Hello bosses and roses.... "Security by obscurity" is for cowards, kwa sababu inaprove kwamba kuna loopholes nyingi na rahisi kupatikana kwenye hio system endapo nitajua au kuweza kufikia...
19 Reactions
109 Replies
11K Views
Kampuni ya Samsung iliachia simu ya Galaxy A14 iliachiwa January 12 2023 ni simu nzuri ya bei nafuu yenye muonekano mzuri kuanzia kioo ,kamera, software update support ila utendaji wake wa Kazi ni...
4 Reactions
4 Replies
5K Views
Hellow wakuu za nyakati hizi Naomba mwenye ujuzi wa jinsi ya kupata namba za nchi za nje kwa ajili ya kujiungia whatsapp Niliwahi kutumia primo app kwaajili ya kupata namba ya marekan lakini sasa...
0 Reactions
29 Replies
20K Views
Kwa wale wasio na mambo mengi mfano wanaandaa tu ripoti ya mauzo excel inawafaa lakini utawakuta kuna hawa wafanya biasahra wana mafaili kibao ya mauzo, madeni, stock, matumizi, n.k. bado...
8 Reactions
14 Replies
1K Views
The two engine types are quite different however. While both have similar internals, the big difference is the way the fuel is injected into the engine. With the VVTI engine, fuel is injected into...
4 Reactions
122 Replies
97K Views
  • Poll Poll
http://youtu.be/hHhPmRHvMRI Unit- 1 Website ni kitu gani ? Kwa tafsiri ya haraka haraka tunaweza kusema kuwa website ni mahali panapotumika kuhifadhi webpage moja ama zaidi. Hii elimu inaweza...
24 Reactions
112 Replies
40K Views
Wakuu nilikuwa natumia yo whatsapp, nimepigwa ban kama inavyoonekana hapa chini. Namba hii ni muhimu sana kuwa whatsapp. Nitumie ujanja gani kuifungua?
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wadau, Natafuta ruler za pica nimezunguka nimechoka sasa naomba msaada hz ruler unaweza kuagiza kutoka nje shida gharama sn adi ije ikufikie ni kama laki hivi nataka niitumie kwenye design.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna anaejua ku unlock hii pc na ku install Windows. Imekuwa locked na pia inatumia chrome os.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Natafuta mtandao wa simu wenye upload na download latecy ndogo. Kwenye local server uwe 80 ms na portland OR server (Century Link) iwe chini ya 250ms. Chief-Mkwawa
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…