Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Shirika la sayansi za anga za juu la Marekani yaani NASA, limefanikiwa kutengeneza ndege itakayo safiri kwa Kasi kubwa kuliko ya Ile ndege ya zamani iliyostaafishwa yaani Concorde. Ndege hiyo...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
I can't wait Tesla watoe simu zao so niseme kwaheri na iPhone coz nimewachoka na monopoly yao na ku complicate simple things kufanya ngumu eg ringtones kuweka simple tu, to download everything...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba kwa yeyote aliyetumia vifa vya Sundar kama Solar panel,betri za solar,tv za solar, anifahamishe ubora wake .Nina mpango wa kununua vifaa vya solar kwa matumizi ya nyumba yangu kijijini...
2 Reactions
56 Replies
20K Views
Hello guys; Wale wanaofuatilia maswala ya anga tunaomba tuelimishane wakuu... Leo habari kubwa nimekutana nayo mtandao wa Twitter ni juu ya India kufanikiwa na wao kutua mwezini. Wakitanguliwa...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Kama kuna mtu ambaye ni mtaalamu wa Websites na Blog nahitaji mtu ambaye anajua designing nzuri za website na blog na kuwezesha akaunti kukubaliwa na Adsence ili niweze kulipwa naombeni anicheki...
0 Reactions
5 Replies
980 Views
Habari za jioni wanajamvi, kutokana na shughuri zangu, nna matumizi makubwa kiasi ya smartphone, yaan nna magroup mengi ya Whatsapp, nna kazi kadhaa za online. Sasa hii simu nikiwasha tu data...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
printer inatoa alarm kuwa NO PAPER PICK UP tatizo ni nini? inashindwa ku print
1 Reactions
5 Replies
790 Views
Habari! Niemeamua kuandika thread hii kutokana na kuona vijana wengi sana wanaosomea mambo ya tehama na wengine watundu watundu waliosoma short course kuchukulia vitu rahisi na kutokuwa na usiri...
1 Reactions
10 Replies
961 Views
Habari ndugu wana jukwaa, Ninaomba kwa anayefahamu app yoyote (iwe ya kulipia au isiyo) inayoweza weza kunisaidia kutrack namba ya simu ili kufahamu iko mahali gani na pia kuniwezesha kuifikia...
4 Reactions
21 Replies
8K Views
Habarini waungwana, Nina shida VPN nimejaribu hatuner bado Iko slow mwenye kujua code za turbo VPN tafadhali
1 Reactions
0 Replies
640 Views
Habari, Naomba kama kuna mtu anajua kuondoa ile caption ya simu anayotumia mtu pindi anapo comment au kuandika chochote inayojitokeza pale chini.
1 Reactions
49 Replies
3K Views
Kioo cha Smart google TV, TCL brand 32inch.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Yeyote anayefahamu jinsi ya kudownload latest movies maana ninejaribu megabox kwa kutumia torrent sipati matokeo mazuri na pia popcorn time kwangu haifanyi kazi tena Mwenye njia mbadala anipe maujuzi
4 Reactions
32 Replies
13K Views
Msaada ya site ya ya kudownload hd movies bila kutumia torrent
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Kwa nini watu wengi wana-switch from Windows 11 to Windows 10?, Windows 11 haijawa successfully kama tulivyotegemea mbali ya kuwa na features na Promo kubwa?
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Daaaah ufund unameng lakn swala la maden limekua donda sugu mtu anakuletea mashne bahat mbaya inazma mikonon mwako afu ukute shida ilikua processor ukute processor yenyew built-in apo inabdi...
5 Reactions
14 Replies
995 Views
Habari wadau, Nina simu ni almost mpya lakini ina tatizo haikamati network laini yoyote ya Halotel msaada tafadhali. Aina ya simu ni Infinix Smart 6.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari msaada hizi addons kama unafahamu.
0 Reactions
1 Replies
871 Views
Habar wataalam Modem ukiichomeka inaconnect then baada ya muda inadisconnect yenyewe na unakuwa inafanya hivyo muda wote. Nini litakuwa tatizo?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habar wakuu simu yangu ya Xiaomi Redmi 11 pro haifungui picha nkiwa jiiforum naperuzi nyuzi sehemu ya nyuzi yenye picha haifunguku hasa kama nyuzi ya tupia picha ya warembo wakali
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…