Simu ku stack na kujizima

Simu ku stack na kujizima

nelvine

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2015
Posts
1,114
Reaction score
1,879
Habari za jioni wanajamvi, kutokana na shughuri zangu, nna matumizi makubwa kiasi ya smartphone, yaan nna magroup mengi ya Whatsapp, nna kazi kadhaa za online. Sasa hii simu nikiwasha tu data lazima ijizime, then baada ya hapo inaganda mara ijizime.

Je, kuna namna naweza ifanya hii simu ikawa fasta na isizime zime ovyo nikiwasha data?

Screenshot_20230822-215452.jpg
 
Kumbe series ya infinix hot umefika toleo la 30?!🙄

Mimi Bado Nina hot 8 nilinunua mwaka 2019 na haijawahi kuharibika
 
Matumizi makubwa kuliko uwezo wa simu hapo cha kufanya ni kupunguza Aplication nzito nzito na ku clear Cache ikigoma tafuta sehemu hifadhi data zako then futa kila kitu kwa.kui factory reset
 
Nahisi umedownload vitu vingi! Unstall baadhi ya apps na faili ambazo hazina ulazima kutumia.
 
Habari za jioni wanajamvi, kutokana na shughuri zangu, nna matumizi makubwa kiasi ya smartphone, yaan nna magroup mengi ya Whatsapp, nna kazi kadhaa za online. Sasa hii simu nikiwasha tu data lazima ijizime, then baada ya hapo inaganda mara ijizime.

Je, kuna namna naweza ifanya hii simu ikawa fasta na isizime zime ovyo nikiwasha data?

View attachment 2725624
Ushauri wangu uza hii simu ongezea pesa na switch kwenye brand nyingne yenye processor ya Qualcomm ya kisasa.. Hii simu yako naona inatumia chip ya Unisoc T606 sijui hata ecosystem yake ikoje... Ila hii simu haikidhi mahitaji yako ya u heavy user..
 
Ushauri wangu uza hii simu ongezea pesa na switch kwenye brand nyingne yenye processor ya Qualcomm ya kisasa.. Hii simu yako naona inatumia chip ya Unisoc T606 sijui hata ecosystem yake ikoje... Ila hii simu haikidhi mahitaji yako ya u heavy user..
Simu aina Gani unanishauri ninunue
 
Back
Top Bottom