kwenye wesite gani mkuu au jamiiforums ?Habari,
Naomba kama kuna mtu anajua kuondoa ile caption ya simu anayotumia mtu pindi anapo comment au kuandika chochote inayojitokeza pale chini.
Ile ya sent from Tecno F1 mobile app au sio😅Habari,
Naomba kama kuna mtu anajua kuondoa ile caption ya simu anayotumia mtu pindi anapo comment au kuandika chochote inayojitokeza pale chini.
Hii imenisumbua sana, nimechezacheza kwenye website naona ghafla imeondoka.Habari,
Naomba kama kuna mtu anajua kuondoa ile caption ya simu anayotumia mtu pindi anapo comment au kuandika chochote inayojitokeza pale chini.
[emoji16][emoji16][emoji16] tulia weweIli tusijue kama unatumia Tecno mkuu? Mbona fresh tu[emoji3]
Hahaa dawa gani mpya hiyo maana nimekunywa nyingi zilizokua huko jikoni pia😀😀 mbona fresh tu kutumia Tecno usijiskie vibaya bana, wote tunatumia na tuko so proudWewe dawa yako iko jikoni [emoji16][emoji16][emoji16]
Uliona wapi wanaotumia Iphone wanaomba kutoa yaani isionekane? nakupa buku ukinionesha😀Yah lakini ni bora usijue kwa nikitumia iPhone haioneshi?
Hiyo nafikiri ni mpaka inahitaji kurekebishwa na moderator(IT) wa jF sidhani kama kuna option ya wewe kuitoaYap ndio hiyo Naomba jinsi ya kujitoa isioneshe
Na tumeweka ringtone ya iphone na ukiivalisha cover la manyoya mtu anaamini its an apple 🍎Hahaa dawa gani mpya hiyo maana nimekunywa nyingi zilizokua huko jikoni pia😀😀 mbona fresh tu kutumia Tecno usijiskie vibaya bana, wote tunatumia na tuko so proud
Mi situmii techno kwa sasa lakini nikiwa nayo natumia ila tu sipendi kututolea privacy zetu hawatutendei haki kwa sababu mimi sijaona umuhimu wa kuonesha mtu anatumia simu gani?Hahaa dawa gani mpya hiyo maana nimekunywa nyingi zilizokua huko jikoni pia[emoji3][emoji3] mbona fresh tu kutumia Tecno usijiskie vibaya bana, wote tunatumia na tuko so proud
Hii dawa ndio kiboko yako utakaa kwa kutulia subiria ichemke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaa dawa gani mpya hiyo maana nimekunywa nyingi zilizokua huko jikoni pia[emoji3][emoji3] mbona fresh tu kutumia Tecno usijiskie vibaya bana, wote tunatumia na tuko so proud