amando pascal
Member
- Sep 30, 2018
- 7
- 30
Kwa nini watu wengi wana-switch from Windows 11 to Windows 10?, Windows 11 haijawa successfully kama tulivyotegemea mbali ya kuwa na features na Promo kubwa?
Mkuu wazungumziaje ujio wa windows 12Windows zote zipo hivyo hata wakati 8 inatoka wengi walikua 7, then 10 ikaja taratibu, hata 11 baadae itakua kubwa.
Kwa processor za kisasa kubwa na Ndogo ni lazima utumie 11, 10 imeshakua Outdated.
Nadhani kati ya window ambayo haikupendwa ni window 8. Wengi tulihama kutoka 7 kwenda 10Windows zote zipo hivyo hata wakati 8 inatoka wengi walikua 7, then 10 ikaja taratibu, hata 11 baadae itakua kubwa.
Kwa processor za kisasa kubwa na Ndogo ni lazima utumie 11, 10 imeshakua Outdated.
Ngumu kujua bado sana, sema hizo tetesi ni kwamba inakuja kuondoa legacy features, hivyo tegemea mabadiliko makubwa mno kiutendaji, na kutakua na controvesy za Kutosha.Mkuu wazungumziaje ujio wa windows 12
Ni kama windows me nayo haikupe dwaNadhani kati ya window ambayo haikupendwa ni window 8. Wengi tulihama kutoka 7 kwenda 10
Najua kizazi cha next next finish hii hawajawahi isikiaNi kama windows me nayo haikupe dwa
Windows me ndiyo ipi.. Ama unasemea UbuntuNi kama windows me nayo haikupe dwa
Anamaanisha Windows mellenium (Windows me).Windows me ndiyo ipi.. Ama unasemea Ubuntu
too much diplomas too much complicationsKwa nini watu wengi wana-switch from Windows 11 to Windows 10?, Windows 11 haijawa successfully kama tulivyotegemea mbali ya kuwa na features na Promo kubwa?
View attachment 2605277
While Ubuntu ni Linux based Operating systemWindows me ndiyo ipi.. Ama unasemea Ubuntu
Iko wapi weka link ya website hapa tuoneMkuu wazungumziaje ujio wa windows 12
Windows Millennium EditionWindows me ndiyo ipi.. Ama unasemea Ubuntu
Kwa nini watu wengi wana-switch from Windows 11 to Windows 10?, Windows 11 haijawa successfully kama tulivyotegemea mbali ya kuwa na features na Promo kubwa?
View attachment 2605277
Windows 8 ilikua windows mbovu kuliko zote mara mia mtu alikua tayari atumie windows XP au win 7 na sio win 8...Nadhani kati ya window ambayo haikupendwa ni window 8. Wengi tulihama kutoka 7 kwenda 10