Fani ya tehama kuwa kama utapeli

hero7

JF-Expert Member
Jun 15, 2014
216
69
Habari! Niemeamua kuandika thread hii kutokana na kuona vijana wengi sana wanaosomea mambo ya tehama na wengine watundu watundu waliosoma short course kuchukulia vitu rahisi na kutokuwa na usiri na wengi kutokujua vitu deep..

Nitaanza na mifano michache, kuanzia kuanza kwa Jamiiforums kuna watu kama Njunwa Wamavoko Mwl.RCT Chief-Mkwawa ni watu ambao wanajua vitu vingi sana ila wanalimit ya kuongea..

Mfano hizi trick za unlimited internet naamini ni wengi wanajua ila vijana wa sasa wamekuwa ovyo wanaropoka kila sehemu na ukifutilia kichwani empty unakuta host hata kutafuta hajui ila kapata kiujanja ujanja na wanajiita maIT ila hizi trick sio vitu vigeni vipo miaka na miaka.

Ila miaka ya nyuma sijawahi ona vitu hivi vikitangazwa tangazwa mpaka upate mtu alie nayo ni connection ya kutosha, bado pia kuna case za wizi wa mtandao ila ukifuatilia unakuta vijana wanajiita M-IT ndontatizo inshort hawavijana wasasa wanavhafua fani ya tehama na kuonekana wezi na wajanja wa mjini na ukingalia wamekuja poteza hata mvuto wa thread nyingi huku Jamiiforums.
 
Tatizo nao wanataka kuonekana wanajua na wanaweza ili watu wawakubali kuwa ni Ma aiti mara nyingi mtu asijua ndo huwa anataka aonekane anajua wakati hajui ila ukikutana maa it wenyewe hawana makuu
 
Tatizo nao wanataka kuonekana wanajua na wanaweza ili watu wawakubali kuwa ni Ma aiti mara nyingi mtu asijua ndo huwa anataka aonekane anajua wakati hajui ila ukikutana maa it wenyewe hawana makuu
Right ilq inafanya kwa tabia hizi inafanya watu wa IT wote waonekane ovyo
 
Habari! Niemeamua kuandika thread hii kutokana na kuona vijana wengi sana wanaosomea mambo ya tehama na wengine watundu watundu waliosoma short course kuchukulia vitu rahisi na kutokuwa na usiri na wengi kutokujua vitu deep..

Nitaanza na mifano michache, kuanzia kuanza kwa Jamiiforums kuna watu kama Njunwa Wamavoko Mwl.RCT Chief-Mkwawa ni watu ambao wanajua vitu vingi sana ila wanalimit ya kuongea..

Mfano hizi trick za unlimited internet naamini ni wengi wanajua ila vijana wa sasa wamekuwa ovyo wanaropoka kila sehemu na ukifutilia kichwani empty unakuta host hata kutafuta hajui ila kapata kiujanja ujanja na wanajiita maIT ila hizi trick sio vitu vigeni vipo miaka na miaka.

Ila miaka ya nyuma sijawahi ona vitu hivi vikitangazwa tangazwa mpaka upate mtu alie nayo ni connection ya kutosha, bado pia kuna case za wizi wa mtandao ila ukifuatilia unakuta vijana wanajiita M-IT ndontatizo inshort hawavijana wasasa wanavhafua fani ya tehama na kuonekana wezi na wajanja wa mjini na ukingalia wamekuja poteza hata mvuto wa thread nyingi huku Jamiiforums.
Huenda mimi ndiye nimeelewa tofauti ama la!.

Kwamba, maIT wa zamani wanajua njia nyingi za kupiga na wanakaa kimya. Vijana wadogo wanafunzwa na kuziweka wazi.

Nadhani hao wa kitambo ndiyo matapeli. Hawahitaji kujulikana, hawa madogo wana nia nzuri.

Vinginevyo, maelezo yako uyaweke vinginevyo.
 
Huenda mimi ndiye nimeelewa tofauti ama la!.

Kwamba, maIT wa zamani wanajua njia nyingi za kupiga na wanakaa kimya. Vijana wadogo wanafunzwa na kuziweka wazi.

Nadhani hao wa kitambo ndiyo matapeli. Hawahitaji kujulikana, hawa madogo wana nia nzuri.

Vinginevyo, maelezo yako uyaweke vinginevyo.
Umeenda tofauti rejea kwa thread simple ni vijana wasasa hawajui na wanasumbua like kama wanajua
 
Acha roho mbaya, wezungu walotengeneza wanaweka wazi we unataka ufiche ili upige watu hela.

Kwani kujua unlimited internet ndo kuwa IT?
 
Acha roho mbaya, wezungu walotengeneza wanaweka wazi we unataka ufiche ili upige watu hela.

Kwani kujua unlimited internet ndo kuwa IT?
Inawezekana pia ww ni mmojawapo..iko hivi ukiona hizo trick ujue kuna mtu kapata host na kakesha kutafuta kama una knowlodge uwezi kujua unaanzia wapi wamalizikia wapi na sio kila mtu anaejua IT anaweza pata na sijaona alilopoka akitoa free hata mmoja na hata ikitokea natoa free ujue kuna cost utabidi ujitegemee kama ununuaji wa server na implement za tool yako.maybe utumie tool za watu kama Ha tunnel ambazo kwa upande wangu naona ndo zinazosaidia hata mitandao kushtuka kwa ni weak security na ni rahisi atakubypass na ishu sio kuuza au kutoa free ishu nikuwa na uwezo wakukaa na jambo na tusiongee haya mambo ya unlimited tu vitu vingi hata free channel.now hakuna mtu anaweza weka hapa kwakua watu washakuwa ovyo ataenda sambaza uko kwenye social media na telegram kwakua wanatfauta sifa na kuonekana nao wanajua kumbe empty...empty
 
Inawezekana pia ww ni mmojawapo..iko hivi ukiona hizo trick ujue kuna mtu kapata host na kakesha kutafuta kama una knowlodge uwezi kujua unaanzia wapi wamalizikia wapi na sio kila mtu anaejua IT anaweza pata na sijaona alilopoka akitoa free hata mmoja na hata ikitokea natoa free ujue kuna cost utabidi ujitegemee kama ununuaji wa server na implement za tool yako.maybe utumie tool za watu kama Ha tunnel ambazo kwa upande wangu naona ndo zinazosaidia hata mitandao kushtuka kwa ni weak security na ni rahisi atakubypass na ishu sio kuuza au kutoa free ishu nikuwa na uwezo wakukaa na jambo na tusiongee haya mambo ya unlimited tu vitu vingi hata free channel.now hakuna mtu anaweza weka hapa kwakua watu washakuwa ovyo ataenda sambaza uko kwenye social media na telegram kwakua wanatfauta sifa na kuonekana nao wanajua kumbe empty...empty
We ni walewale wanaojifanya IT, unazungumzia host kama vile ni topic kubwa sana, ukute huwezi hata kuandika small script ku fuzz directory,

Unakipi unakijua wewe?
 
We ni walewale wanaojifanya IT, unazungumzia host kama vile ni topic kubwa sana, ukute huwezi hata kuandika small script ku fuzz directory,

Unakipi unakijua wewe?
Sawa inaweza kuwa kweli sijui kitu ila ujasoma thread ukaelewa.
 
Back
Top Bottom