Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ukiachana na hizi social network za kimataifa za FB, IG na Twitter hakuna social network local, Ukiachana na jamii forum ambayo ni forum, hakuna nyingine yenye hata kujikongoja, Licha ya...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Ni vijana wa chuoni waliofunga vyuo na kwa sasa tupo nao, Wapo wanaosoma computer engineering, computer science, IT, ICT , n.k Ni vijana ambao mdomoni wapo vema sana kwa kujaa misamiati ila kwa...
16 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu. Nimejaribu kutafuta hiyo television kwenye maduka mbalimbali kwa Dar es Salaam na sijafanikiwa. Nyingi ambazo nimeziona ni LG QNED80, ila ninahitaji model ya namba 85...
0 Reactions
13 Replies
994 Views
Wanasema Dunia na maajabu yake hivi unajua Kuna watu wanauza maeneo mwezini. Baada ya mafanikio ya chombo Cha chandryaan 3 kufika mwezini Sasa zamu ya mwanadamu. [emoji189] Kuna ripoti inasamba...
1 Reactions
4 Replies
956 Views
Wakuu kwema? Tatizo la subwoofer kuvibrate na kutikisa nyuma linasoviwaje? Unaweza kuta unasikiliza vizuri tu, baada ya muda inatokea bass Fulani,ambayo inatikisa nyumba
4 Reactions
8 Replies
732 Views
jamani naomba mwenye ujuzi anisaidie, nina dish la dstv nataka nilitumie pamoja na receiver ya mediacom...nifanyaje kupata mawasiliano?
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Hivi karibuni, kampuni kubwa ya mawasiliano na teknolojia ya China, Huawei, ilifanya mauzo ya awali ya simu yake mpya ya kisasa (smartphone) aina ya Huawei Mate 60 Pro, hatua iliyozusha mjadala...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jana Apple wamezindua next generation ya iPhone na Apple Watches. Moja ya vitu nilivyopenda zaidi ni kuona wamefikia kwenye kutengeneza Carbon Neutral devices. Na kutumia material imara zaidi...
0 Reactions
1 Replies
499 Views
Wadau kati ya hizi simu ipi bora zaidi, nataka kununua moja. Tecno R7 LTE vs Itel T20 LTE zote zinauzwa TIGO shop. NB: Napenda ambayo haitokuwa inanibana napotaka apps mbalimbali ziwe zinakubali...
1 Reactions
22 Replies
8K Views
Yaani siku hizi ukienda madukani simu nyingi sana za kisasa (smartphones) huwa ni kubwa kwa umbo, yani urefu tu ni kama mkebe na hii ni kero kwangu, binafsi napendelea zaidi simu ambazo zinakaa...
7 Reactions
41 Replies
3K Views
Wadau,naombeni msaada kujuzwa namna ya ku-add mziki uupendao instagram pindi unapotaka kupost insta feed au story.miziki niitakayo mfano ya kibongo kwenye search box yao haipo,natanguliza shukran
0 Reactions
1 Replies
419 Views
Wakuu poleni na majukumu ya wiki nzima. Nijikite kwenye mada mojakwamoja bila kuchelewa. nimepata changamoto kwenye hii computer ya utoaji wa sauti. Nilimpa fundi anifanyie installation ya...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
WASOMI WA MAMBO YA UMEME NAOMBENI MNISAIDIE: Ninataka kuweka umeme wa solar nyumbani kijijini, fundi wangu amenishauri kuwa niweke Solar pannel mbili za watt 100 kila moja jumla ziwe watt 200 na...
0 Reactions
24 Replies
8K Views
Habari wana JF, Nawezaje kuiset simu pixel 3xl iweze kutumia laini mbili zote ziwe active at the same time msaada tafadhali. Tayari nimeshajisajili na airtel e_sim ila shida ndio hio.
2 Reactions
1 Replies
899 Views
Umoja wa nchi za ulaya umekuja na sheria mpya kwa makampuni makubwa ya Teknolojia ulimwenguni. kuwapa uwezo watumiaji mbalimbali wa mitandao kama vile signal, telegram, Whatsapp nk kuweza...
2 Reactions
0 Replies
518 Views
Sasa kuna hii inaitwa PI AI, yenyewe ni tofauti na bots nyingine kwa sababu imetengenezwa kukustudy na kujua tabia zako ili iendane na wewe. Mfano ukiandika lugha ya mitaani itakujibu kwa lugha...
2 Reactions
7 Replies
748 Views
Unaweza kuwa na lundo la videos ambazo huwezi kuja kuziangalia tena, huwa ni sawa na makorokoro, Pc ama hata simu yako ni sawa na chumba, ni muhimu iwe na nafasi ya kupumua, toa makorokoro hayo...
0 Reactions
0 Replies
686 Views
Salam wakuu, Poleni na mihangaiko ya kila siku. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kujua speaker nzuri inayotoa mziki mzuri ambayo itafaa katika matumizi ya pub au lounge. Naomba...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Kuna rafiki yangu anasema account yake ya facebook wameibadili password na email aliyotumia kufungulia...ila anasema wahuni walianza kuingia na kupost vitu vya ajabu hapo awali kabla...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
DAWASCO ni kwa wtu wa Dar Es Salaam mikoa mingine inaweza kuwa na jina jingine.... Je unajua kama huduma ya maji ya DAWASCO ina weza kukuzalishia umeme Bila kuvunja sheria...? Hii hasa itakua...
9 Reactions
36 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…