Start-Menu
Member
- Sep 10, 2023
- 12
- 63
Unaweza kuwa na lundo la videos ambazo huwezi kuja kuziangalia tena, huwa ni sawa na makorokoro,
Pc ama hata simu yako ni sawa na chumba, ni muhimu iwe na nafasi ya kupumua, toa makorokoro hayo chini ya uvungu ili kuwe na sehemu ya kupumua na kuwe na urahisi wa kuperuzi
karibu kusoma post za nyuma :
a) Kama unatumia winrar hakikisha unatumia toleo jipya lasivyo waweza kuwa muhanga wa virusi vinavyosambazwa, nimeelekeza namna ya kutumia winrar toleo jipya bure >> soma uzi
Pc ama hata simu yako ni sawa na chumba, ni muhimu iwe na nafasi ya kupumua, toa makorokoro hayo chini ya uvungu ili kuwe na sehemu ya kupumua na kuwe na urahisi wa kuperuzi
karibu kusoma post za nyuma :
a) Kama unatumia winrar hakikisha unatumia toleo jipya lasivyo waweza kuwa muhanga wa virusi vinavyosambazwa, nimeelekeza namna ya kutumia winrar toleo jipya bure >> soma uzi