Marcovicsavic
Senior Member
- Nov 14, 2020
- 132
- 308
Ukiachana na hizi social network za kimataifa za FB, IG na Twitter hakuna social network local,
Ukiachana na jamii forum ambayo ni forum, hakuna nyingine yenye hata kujikongoja,
Licha ya kwamba social network platform umekua mradi mzuri wenye kuwafanya watu kua mabilionea ila kwetu Tanzania hakuna kabisa,
Shida ni Wenye tasnia, mabosi wenye uwezo wa kuwekeza au mifumo ya serikali haitoi nafasi kwa innovators kuweza kupenya kwenye soko legally?
Ukiachana na jamii forum ambayo ni forum, hakuna nyingine yenye hata kujikongoja,
Licha ya kwamba social network platform umekua mradi mzuri wenye kuwafanya watu kua mabilionea ila kwetu Tanzania hakuna kabisa,
Shida ni Wenye tasnia, mabosi wenye uwezo wa kuwekeza au mifumo ya serikali haitoi nafasi kwa innovators kuweza kupenya kwenye soko legally?