Kuna rafiki yangu anasema account yake ya facebook wameibadili password na email aliyotumia kufungulia...ila anasema wahuni walianza kuingia na kupost vitu vya ajabu hapo awali kabla hawajambadilishia hizo taarifa zake.
Anaomba msaada namna ya kurudisha account yake kwani alishaizoea na ina watu wake wa muhimu sana
Anaomba msaada namna ya kurudisha account yake kwani alishaizoea na ina watu wake wa muhimu sana