Zalisha umeme kupitia maji ya DAWASCO

Transistor

JF-Expert Member
Aug 8, 2013
970
1,461
DAWASCO ni kwa wtu wa Dar Es Salaam mikoa mingine inaweza kuwa na jina jingine....

Je unajua kama huduma ya maji ya DAWASCO ina weza kukuzalishia umeme Bila kuvunja sheria...?

Hii hasa itakua bahati kwa wale ambao wanakaa maeneo ambao maji Dawasco yana kasi...

KANUNI...

Kinachofanyika unaomba kuungwa na bomba la maji ya DAWASCO na wakati wa kuungwa hakikisha unaungwa kwa kutumia mpira wa maji wa nch 2 au zaidi ili uwe na maji yenye pace na presha kubwa..


Kitakacho kupa umeme ni nguvu ya msukumo wa maji inayotokana na kasi na msukumo wa maji kutoka moja kwa moja katika TANK la maji la DAWASCO ambako wao wanatumia Kanuni ya msukumo ya mtelemko au wanatumia mota za umeme kusukuma maji.

.....(Watu wa phyisics wanaweza elezea hili)

Kwa mteja Kama una TANK lako la maji ambalo unalijaza kwa mfano kwa dakika 30..sasa lijaze kwa hata masaa matano au sita...Kupitia nguvu ya moja kwa moja ya DAWASCO...(Hakikisha hapa maji yanapanda au kwenda yenyewe katika TANK.)bila wewe kutumia motor ya ziada..

Nguvu inayojaza maji katika Tank kwa maana hii itakua inatoka DAWASCO...moja kwa moja

Ile resistance ya kupeleka maji taratibu taratibu badala ya kutumia KOKI kupunguza kasi ya maji wewe unafunga machenichal rotor inakayo geuza iyo resistance kuwa POWER...

KUPATA UMEME

Kati ya bomba yako na kati ya TANK unaweka mfumo ambao maji yanavyopita yanakua yakisukuma (machenical rotor) ambayo imeungwa katika Generator...

Wakati maji yanaenda katika Tank Ile presha yake itatumika kuendesha rotor...japo kikanuni utatumia muda mwingi kujaza Tank ila utakua umevuna pia ile nguvu ya maji na kuzalisha umeme....Bila kuvunja Sheria yoyote ya DAWASCO...

UKumbuke Dawasco wao hawakulipishi kwa nguvu inayotumika kukuletea maji mteja...Wanakulipisha kwa liters za maji...

Kama una akili Vuna hizo nguvu ambapo wao DAWASCO wanazizalisha kwa Majenerator au Gravitation force...

Kama kuna ubishani naomba watu wa physics na watu wa machenical energy walipinge hili Asante..

Transinstor...
 
DAWASCO ni kwa wtu wa Dar Es Salaam mikoa mingine inaweza kuwa na jina jingine....

Je unajua kama huduma ya maji ya DAWASCO ina weza kukuzalishia umeme Bila kuvunja sheria...?

Hii hasa itakua bahati kwa wale ambao wanakaa maeneo ambao maji Dawasco yana kasi...

KANUNI...

Kinachofanyika unaomba kuungwa na bomba la maji ya DAWASCO na wakati wa kuungwa hakikisha unaungwa kwa kutumia mpira wa maji wa nch 2 au zaidi ili uwe na maji yenye pace na presha kubwa..


Kitakacho kupa umeme ni nguvu ya msukumo wa maji inayotokana na kasi na msukumo wa maji kutoka moja kwa moja katika TANK la maji la DAWASCO ambako wao wanatumia Kanuni ya msukumo ya mtelemko au wanatumia mota za umeme kusukuma maji.

.....(Watu wa phyisics wanaweza elezea hili)

Kwa mteja Kama una TANK lako la maji ambalo unalijaza kwa mfano kwa dakika 30..sasa lijaze kwa hata masaa matano au sita...Kupitia nguvu ya moja kwa moja ya DAWASCO...(Hakikisha hapa maji yanapanda au kwenda yenyewe katika TANK.)bila wewe kutumia motor ya ziada..

Nguvu inayojaza maji katika Tank kwa maana hii itakua inatoka DAWASCO...moja kwa moja

Ile resistance ya kupeleka maji taratibu taratibu badala ya kutumia KOKI kupunguza kasi ya maji wewe unafunga machenichal rotor inakayo geuza iyo resistance kuwa POWER...

KUPATA UMEME

Kati ya bomba yako na kati ya TANK unaweka mfumo ambao maji yanavyopita yanakua yakisukuma (machenical rotor) ambayo imeungwa katika Generator...

Wakati maji yanaenda katika Tank Ile presha yake itatumika kuendesha rotor...japo kikanuni utatumia muda mwingi kujaza Tank ila utakua umevuna pia ile nguvu ya maji na kuzalisha umeme....Bila kuvunja Sheria yoyote ya DAWASCO...

UKumbuke Dawasco wao hawakulipishi kwa nguvu inayotumika kukuletea maji mteja...Wanakulipisha kwa liters za maji...

Kama una akili Vuna hizo nguvu ambapo wao DAWASCO wanazizalisha kwa Majenerator au Gravitation force...

Kama kuna ubishani naomba watu wa physics na watu wa machenical energy walipinge hili Asante..

Transinstor...
DAWASCO ni kwa wtu wa Dar Es Salaam mikoa mingine inaweza kuwa na jina jingine....

Je unajua kama huduma ya maji ya DAWASCO ina weza kukuzalishia umeme Bila kuvunja sheria...?

Hii hasa itakua bahati kwa wale ambao wanakaa maeneo ambao maji Dawasco yana kasi...

KANUNI...

Kinachofanyika unaomba kuungwa na bomba la maji ya DAWASCO na wakati wa kuungwa hakikisha unaungwa kwa kutumia mpira wa maji wa nch 2 au zaidi ili uwe na maji yenye pace na presha kubwa..


Kitakacho kupa umeme ni nguvu ya msukumo wa maji inayotokana na kasi na msukumo wa maji kutoka moja kwa moja katika TANK la maji la DAWASCO ambako wao wanatumia Kanuni ya msukumo ya mtelemko au wanatumia mota za umeme kusukuma maji.

.....(Watu wa phyisics wanaweza elezea hili)

Kwa mteja Kama una TANK lako la maji ambalo unalijaza kwa mfano kwa dakika 30..sasa lijaze kwa hata masaa matano au sita...Kupitia nguvu ya moja kwa moja ya DAWASCO...(Hakikisha hapa maji yanapanda au kwenda yenyewe katika TANK.)bila wewe kutumia motor ya ziada..

Nguvu inayojaza maji katika Tank kwa maana hii itakua inatoka DAWASCO...moja kwa moja

Ile resistance ya kupeleka maji taratibu taratibu badala ya kutumia KOKI kupunguza kasi ya maji wewe unafunga machenichal rotor inakayo geuza iyo resistance kuwa POWER...

KUPATA UMEME

Kati ya bomba yako na kati ya TANK unaweka mfumo ambao maji yanavyopita yanakua yakisukuma (machenical rotor) ambayo imeungwa katika Generator...

Wakati maji yanaenda katika Tank Ile presha yake itatumika kuendesha rotor...japo kikanuni utatumia muda mwingi kujaza Tank ila utakua umevuna pia ile nguvu ya maji na kuzalisha umeme....Bila kuvunja Sheria yoyote ya DAWASCO...

UKumbuke Dawasco wao hawakulipishi kwa nguvu inayotumika kukuletea maji mteja...Wanakulipisha kwa liters za maji...

Kama una akili Vuna hizo nguvu ambapo wao DAWASCO wanazizalisha kwa Majenerator au Gravitation force...

Kama kuna ubishani naomba watu wa physics na watu wa machenical energy walipinge hili Asante..

Transinstor...
Tatizo mawakala wenu wanaongeza bili makusudi.
 
DAWASCO ni kwa wtu wa Dar Es Salaam mikoa mingine inaweza kuwa na jina jingine....

Je unajua kama huduma ya maji ya DAWASCO ina weza kukuzalishia umeme Bila kuvunja sheria...?

Hii hasa itakua bahati kwa wale ambao wanakaa maeneo ambao maji Dawasco yana kasi...

KANUNI...

Kinachofanyika unaomba kuungwa na bomba la maji ya DAWASCO na wakati wa kuungwa hakikisha unaungwa kwa kutumia mpira wa maji wa nch 2 au zaidi ili uwe na maji yenye pace na presha kubwa..


Kitakacho kupa umeme ni nguvu ya msukumo wa maji inayotokana na kasi na msukumo wa maji kutoka moja kwa moja katika TANK la maji la DAWASCO ambako wao wanatumia Kanuni ya msukumo ya mtelemko au wanatumia mota za umeme kusukuma maji.

.....(Watu wa phyisics wanaweza elezea hili)

Kwa mteja Kama una TANK lako la maji ambalo unalijaza kwa mfano kwa dakika 30..sasa lijaze kwa hata masaa matano au sita...Kupitia nguvu ya moja kwa moja ya DAWASCO...(Hakikisha hapa maji yanapanda au kwenda yenyewe katika TANK.)bila wewe kutumia motor ya ziada..

Nguvu inayojaza maji katika Tank kwa maana hii itakua inatoka DAWASCO...moja kwa moja

Ile resistance ya kupeleka maji taratibu taratibu badala ya kutumia KOKI kupunguza kasi ya maji wewe unafunga machenichal rotor inakayo geuza iyo resistance kuwa POWER...

KUPATA UMEME

Kati ya bomba yako na kati ya TANK unaweka mfumo ambao maji yanavyopita yanakua yakisukuma (machenical rotor) ambayo imeungwa katika Generator...

Wakati maji yanaenda katika Tank Ile presha yake itatumika kuendesha rotor...japo kikanuni utatumia muda mwingi kujaza Tank ila utakua umevuna pia ile nguvu ya maji na kuzalisha umeme....Bila kuvunja Sheria yoyote ya DAWASCO...

UKumbuke Dawasco wao hawakulipishi kwa nguvu inayotumika kukuletea maji mteja...Wanakulipisha kwa liters za maji...

Kama una akili Vuna hizo nguvu ambapo wao DAWASCO wanazizalisha kwa Majenerator au Gravitation force...

Kama kuna ubishani naomba watu wa physics na watu wa machenical energy walipinge hili Asante..

Transinstor...
Kwa maji yanayotoka muda wote hii inaweza kuwa practical ila kwa mikoa ambayo maji bombani yanatoka mara moja kwa wiki sijui!
 
DAWASCO ni kwa wtu wa Dar Es Salaam mikoa mingine inaweza kuwa na jina jingine....

Je unajua kama huduma ya maji ya DAWASCO ina weza kukuzalishia umeme Bila kuvunja sheria...?

Hii hasa itakua bahati kwa wale ambao wanakaa maeneo ambao maji Dawasco yana kasi...

KANUNI...

Kinachofanyika unaomba kuungwa na bomba la maji ya DAWASCO na wakati wa kuungwa hakikisha unaungwa kwa kutumia mpira wa maji wa nch 2 au zaidi ili uwe na maji yenye pace na presha kubwa..


Kitakacho kupa umeme ni nguvu ya msukumo wa maji inayotokana na kasi na msukumo wa maji kutoka moja kwa moja katika TANK la maji la DAWASCO ambako wao wanatumia Kanuni ya msukumo ya mtelemko au wanatumia mota za umeme kusukuma maji.

.....(Watu wa phyisics wanaweza elezea hili)

Kwa mteja Kama una TANK lako la maji ambalo unalijaza kwa mfano kwa dakika 30..sasa lijaze kwa hata masaa matano au sita...Kupitia nguvu ya moja kwa moja ya DAWASCO...(Hakikisha hapa maji yanapanda au kwenda yenyewe katika TANK.)bila wewe kutumia motor ya ziada..

Nguvu inayojaza maji katika Tank kwa maana hii itakua inatoka DAWASCO...moja kwa moja

Ile resistance ya kupeleka maji taratibu taratibu badala ya kutumia KOKI kupunguza kasi ya maji wewe unafunga machenichal rotor inakayo geuza iyo resistance kuwa POWER...

KUPATA UMEME

Kati ya bomba yako na kati ya TANK unaweka mfumo ambao maji yanavyopita yanakua yakisukuma (machenical rotor) ambayo imeungwa katika Generator...

Wakati maji yanaenda katika Tank Ile presha yake itatumika kuendesha rotor...japo kikanuni utatumia muda mwingi kujaza Tank ila utakua umevuna pia ile nguvu ya maji na kuzalisha umeme....Bila kuvunja Sheria yoyote ya DAWASCO...

UKumbuke Dawasco wao hawakulipishi kwa nguvu inayotumika kukuletea maji mteja...Wanakulipisha kwa liters za maji...

Kama una akili Vuna hizo nguvu ambapo wao DAWASCO wanazizalisha kwa Majenerator au Gravitation force...

Kama kuna ubishani naomba watu wa physics na watu wa machenical energy walipinge hili Asante..

Transinstor...
Kwako umefanya hivyo injinia?
Kama.yes basi nipe nambar yako
 
DAWASCO ni kwa wtu wa Dar Es Salaam mikoa mingine inaweza kuwa na jina jingine....

Je unajua kama huduma ya maji ya DAWASCO ina weza kukuzalishia umeme Bila kuvunja sheria...?

Hii hasa itakua bahati kwa wale ambao wanakaa maeneo ambao maji Dawasco yana kasi...

KANUNI...

Kinachofanyika unaomba kuungwa na bomba la maji ya DAWASCO na wakati wa kuungwa hakikisha unaungwa kwa kutumia mpira wa maji wa nch 2 au zaidi ili uwe na maji yenye pace na presha kubwa..


Kitakacho kupa umeme ni nguvu ya msukumo wa maji inayotokana na kasi na msukumo wa maji kutoka moja kwa moja katika TANK la maji la DAWASCO ambako wao wanatumia Kanuni ya msukumo ya mtelemko au wanatumia mota za umeme kusukuma maji.

.....(Watu wa phyisics wanaweza elezea hili)

Kwa mteja Kama una TANK lako la maji ambalo unalijaza kwa mfano kwa dakika 30..sasa lijaze kwa hata masaa matano au sita...Kupitia nguvu ya moja kwa moja ya DAWASCO...(Hakikisha hapa maji yanapanda au kwenda yenyewe katika TANK.)bila wewe kutumia motor ya ziada..

Nguvu inayojaza maji katika Tank kwa maana hii itakua inatoka DAWASCO...moja kwa moja

Ile resistance ya kupeleka maji taratibu taratibu badala ya kutumia KOKI kupunguza kasi ya maji wewe unafunga machenichal rotor inakayo geuza iyo resistance kuwa POWER...

KUPATA UMEME

Kati ya bomba yako na kati ya TANK unaweka mfumo ambao maji yanavyopita yanakua yakisukuma (machenical rotor) ambayo imeungwa katika Generator...

Wakati maji yanaenda katika Tank Ile presha yake itatumika kuendesha rotor...japo kikanuni utatumia muda mwingi kujaza Tank ila utakua umevuna pia ile nguvu ya maji na kuzalisha umeme....Bila kuvunja Sheria yoyote ya DAWASCO...

UKumbuke Dawasco wao hawakulipishi kwa nguvu inayotumika kukuletea maji mteja...Wanakulipisha kwa liters za maji...

Kama una akili Vuna hizo nguvu ambapo wao DAWASCO wanazizalisha kwa Majenerator au Gravitation force...

Kama kuna ubishani naomba watu wa physics na watu wa machenical energy walipinge hili Asante..

Transinstor...

Kijana unakitu hivyo endelea kusoma Physics ukifika madarasa ya juu zaidi unaweza kuwa na wazo zuri zaidi;
Kwa hiki ulicho andika nikusaidie tu kuwa, kipo theoretical ila sio practical

Router au motor au niseme Dinamo (kama ile ya baiskeli) inatoa umeme pale inapozunguka; sasa kwa matumizi ya kawaida ya nyumba inayotumia pengine lita 200 kwa siku wanaweza kujaza hayo maji ndani ya nusu saa na Hata ukijaza tank la lita 5000 kwa masaa matatu, pengine itakutumia wiki nzima ndio ujaze tena. Kipindi unatumia maji uliyojaza kwenye tank, huo umeme utaupata wapi?
Ukilazimisha kutumia maji ili Dinamo izunguke upate umeme, utaishia kulipa bill ya maji kubwa pengine mara tano ya faida ya umeme unaozalisha...
Nyongeza; maji yanayo kwenda kwa mteja kwa matumizi ya kawaida mengi yana pressure ya kawaida sana hivyo umeme utakaopata pengine utaweza kuwasha taa ya energy sever ya watt 3 hivi (haitoshi kwa familia)
MWISHO: ukitaka maji yawe na pressure kubwa unapunguza ukubwa wa bomba na sio kuongeza.
Ushauri: Wazo lako linaweza kuwa practical kama upo karibu na mto wenye maporomoko
 
Mwisho Bill ya maji itakua kubwa kuliko faida ya umeme uliopata.
hatimaye....
WORKDONE IS EQUAL TO ZERO
Naomba uelezee hapa kitaalamu inakuaje maji yaje yalete bili kuwa kubwa?

Mfano ukaamua bila kufunga mfumo wa umeme,ukaamua tu kuzuia presha ya maji kwa kufungua koki ya maji yako kidogo na pressure yote ikawa inaishia katika koki ya maji bila kuzalisha chochote..je bili ya maji itaongezeka?

Naomba nidadavulie hapa kitaalamu mkuu ili theory yangu ionekane mapungufu yake...Karibu.
 
Ila kuna seemu maji ya dawasco yana presha kiasi kwamba ukiweka zile pipe za chooni alafu ukayaruhusu iyo presha yake unaweza ua mtu kwa kumtoboa
 
Kijana unakitu hivyo endelea kusoma Physics ukifika walau form IV na kuendelea utakuwa vizuri;
Kwa hiki ulicho andika nikusaidie kama ifuatavyo;

Router au motor inatoa umeme pale inapozunguka; sasa kwa matumizi ya kawaida ya nyumba inayotumia pengine lita 200 kwa siku wanaweza kujaza hayo maji ndani ya nusu saa na Hata ukijaza tank la lita 5000 kwa masaa matatu, pengine itakutumia wiki nzima ndio ujaze tena. Kipindi unatumia maji ya tank huo umeme utaupata wapi?
Ukilazimisha kutumia maji ili kimotor kizunguke utalipa bill ya maji kubwa pengine mara tano ya faida ya umeme unaozalisha...
Nyongeza; maji yanayo kwenda kwa mteja kwa matumizi ya kawaida mengi yana pressure ya kawaida sana hivyo yataweza kuwasha taa ya energy sever pengine ya watt 3 hivi (haitoshi kwa familia)
MWISHO: ukitaka maji yawe na pressure kubwa unapunguza ukubwa wa bomba na sio kuongeza.
Mkuu unajua nini kinatokea pale unapofungua maji kidogo katika bomba ambalo lina presha kubwa????

Je ile nguvu iliyozuiwa na koki inaenda wapi???

Ile nguvu iapotea tu...

Na labda pia nikusaidie kwa DAWASCO bili ya lita LITA 1000 zikijaa kwa saa moja ni sawa na lita 1000 zikijaa kwa siku 20...

Tofauti na mita za umeme mita za Dawasco zinahesabu LITA hasihesamu energy wala time...

Japo kikanuni wao ni lazima watumie Energy kukufikishia hayo maji either kwa Generator au Gravitation force..

Kuhusu kusoma bado nasoma ndugu hadi leo nimesoma ila sio form 4 sasahivi napambana na PHD.
 
Ila kuna seemu maji ya dawasco yana presha kiasi kwamba ukiweka zile pipe za chooni alafu ukayaruhusu iyo presha yake unaweza ua mtu kwa kumtoboa
Sasa hapo ndiyo nazungumzia namna ya kuvuna hiyo presha
 
  • Ili umeme uzalishwe lazima Dinamo izunguke
  • Ili Dinamo izunguke lazima maji yapite (yatiririke)
  • Ili maji ya yapite (yatirike) lazima mteja awe anayatumia au ameyaachia yamwagike- hapa ndio tunaongelea gharama kuwa kubwa
  • Ile nguvu iliyozuiliwa na koki unaweza tu kuitumia kama maji yameachiwa/yanapita/yanatirirka
  • Ili maji yawe na uwezo wa kuzungusha Dinamo lazima yawe na presure (hivyo ukifungulia kidogo) hayataweza kuzungusha dinamo hivyo hutapata umeme
Umewahi kuangalia nguvu inayohitajika kuzungusha dinamo ya baiskeli itoe umeme wa kuwasha kale kataa kamoja?
Unajua machenical process inavyofanya kazi?? katika kuzalisha nguvu kubwa...Ulisha wahi kufikilia gari bila gia box...??Unadhani bila gia box gari ingekua na nguvu iliyonayo eti tu sababu ya piston???

Mfumo nao zungumzia hapa, ni mjumuiko wa mfumo wa umeme na machenical process...

Kuna Tofauti kati ya "msukumo" na "kasi"

Unadhani hata maji ya maporomoko yanatumika sababu ya kasi yake hapana ...ni PRESSURE...

Kuzalisha energy kasi si kitu kama pressure ni kidogo....
 
Kipindi hiko unazalisha umeme Ile mita yao ya maji Iko wazi au umetoa? Mwisho wa Siku unakuta unazalisha unit Moja ya umeme Kwa gharama y ya shilingi elfu kumi!
 
Back
Top Bottom