Hii chuma ni hatari. Alikuaga nayo bro ila sijui alivuta sh ngapi kwa miaka kama 15 hivi iliyopitaTafuta chuma hiki kutoka Sony - LBT-SH2000, angalizo wazee wa desibeli hawapendi hizi
View attachment 2742231
Kama pub tafuta JBL speaker Kubwa za watt 300 za mtumba vuta na amplifier ulete burudunSalam wakuu,
Poleni na mihangaiko ya kila siku. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kujua speaker nzuri inayotoa mziki mzuri ambayo itafaa katika matumizi ya pub au lounge. Naomba pia kujua bajeti yake. Asante
settup ya muziki hutegemea zaidi eneo la kupigiakelphin njoo huku
Kama pub tafuta JBL speaker Kubwa za watt 300 za mtumba vuta na amplifier ulete burudunSalam wakuu,
Poleni na mihangaiko ya kila siku. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kujua speaker nzuri inayotoa mziki mzuri ambayo itafaa katika matumizi ya pub au lounge. Naomba pia kujua bajeti yake. Asante
Mimi ni mlevi wa muziki mzuri, kwasasa ninahitaji kununua nitakucheki kwa ushauri mkuusettup ya muziki hutegemea zaidi eneo la kupigia
je eneo lako linaukubwa gani
je lipo extended au ni eneo moja kama ukumbi
je eneo hilo lina sehemu ya watu kulala?
twende pamoja
1 ikiwa utahitaji mziki mkubwa wa kusikika mbali na mzito basi PA sound systeam inakuita
na kama sio ile ya full settup basi itakubidi ununue power mixser na stand speaker 2 pamoja na bass moja
nb ukubwa wa spika au wingi itategemea na wewe unataka nini
2 ikiwa eneo hilo lina sehemu ya watu kupumzika basi sioni kama PA inakufaa
zaidi itakubidi uwe na muziki ambao sio mkubwa wa kelele ila wenye kusikika
3 ikiwa eneo lako liko extended na pa utulivu basi itakutaka uwe na mziki ambao una spika ndogo ila nyingi
pw broMimi ni mlevi wa muziki mzuri, kwasasa ninahitaji kununua nitakucheki kwa ushauri mkuu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mzee acha uhuni, hii product haina hata miaka 10 toka iwe launched. Nafikiri ni mwaka 2017 ndio wamei launch rasmi Japan.Hii chuma ni hatari. Alikuaga nayo bro ila sijui alivuta sh ngapi kwa miaka kama 15 hivi iliyopita
Hivi bro si una suka pia speaker?pw bro
Hivi bro si una suka pia speaker?
Tena za 70weka picha ya pub..unaweza kuta ki pub cha watu 30..weka sub woofer