Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tz imekuja na huduma ya eSIM ambayo imekua ikisubiliwa sana. Huduma hii itawapa watumiaji nafasi ya kutumia zaidi ya namba moja kwenye simu moja bila kuongeza...
14 Reactions
73 Replies
11K Views
habari wanajukwaa mimi ni blogger mchanga ninaejaribu kuziendea ndoto zangu nilifungua app siku mingi kidogo hapo nyuma sasa ni zaidi ya miezi miwili nimefikisha usd 10 ambapo kwa sheria za google...
0 Reactions
2 Replies
438 Views
Nawasalimu wana JF, naamini kwenye jamii zetu tuna wagunduzi wengi wa vitu vipya kwa upande wa teknolojia ila shida ambayo imekuwa kikwazo kikubwa , ni hayo mawazo yamekuwa yakikumbana na vikwazo...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Kwa Kiswahili Prof Bibling amekuwa na tabia/taratibu/tija na amekusanya mbinu zilizothibitishwa za mazoea ya kujenga na kuongeza tija katika kubadilisha tabia. Mbinu hizi zimetoka kwenye vitabu...
0 Reactions
1 Replies
435 Views
wakuu habari ningependa kujua au kupata ufafanuzi na utatuzi kama inawezekana. USSD imekuwa haileti keyboard ya maneno ni namba tu so siwezi kuandika hata #. Nifanye nini kutatua?
0 Reactions
4 Replies
460 Views
Habari Najaribu kujisajili Netflix since jana lakini inagoma mwishoni haikubali nilipie sijui shida nini naomba msaada
2 Reactions
3 Replies
380 Views
NAOMBENI MNIVUMILIE MIMI BADO S MUELEWA SANA WA HIVI NDO MY FIRST TIME Nimejisajili na paypal tayari Ila shida nayopata ni pale aliexpress ikifanya kwenye kulipia malipo paypal siioni wananiletea...
2 Reactions
43 Replies
7K Views
Jamani nahitaji programmer anifundishe coding kwa kuanzia na C++ Awe DAR. Nicheki PM
1 Reactions
21 Replies
935 Views
Kutokana na sheria za ushindani ambazo zimekuwa mwiba kwa kuweka vikwazo kwa makampuni makubwa kuyanunua makampuni madogo hasa startups, Adobe imeghairi mpango wake wa kuinunua Figma. Sheria hizi...
0 Reactions
12 Replies
779 Views
Wakuu nataka kununua friji used Kuna jamaa yangu kaniambia alinunua friji used linakula umeme balaa Nikaona nilete specification za hilo friji hapa wataalam mnipe ushauri namna linavyokula umeme...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Msaada wakuu printer yangu Epson l382 inawaka taa ya wino na paper na haifanyi chochote [emoji120]
1 Reactions
29 Replies
7K Views
Wakubwa zangu habari za kwenu.Natumaini tunandelea vyema na majukumu yetu ya Kilasiku. Katika kupita YOUTUBE nimeona Tips and Trick katika matumizi ya Gmail,ukweli kuna Features nyingI Free za...
5 Reactions
45 Replies
3K Views
Aisee ikitokea umekutana na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza wengi ni much know. Niko na dogo hapa kamaliza mwaka wa kwanza anasoma masuala ya security yani yeye kila kitu anasema anaweza hack iwe...
48 Reactions
109 Replies
9K Views
JE Unapenda Kujifunza Cinema 4D au Blender? ( Animation ) Motion Graphic kwa kutumia Cinema 4D. Mwezi sasa toka nianze kujifunza Animation kwa kutumia Cinema 4D na Blender. Week hii nmefanya...
5 Reactions
67 Replies
5K Views
Muonekano mpya baada ya kufanya update ya windows 11 pro kwenda 23h2
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu hivi ni brand gani yenye fast charger zenye ubora na zinazodumu?
1 Reactions
65 Replies
14K Views
Habari wadau, Kuna account kama tatu hivi nishazitengeneza na kuzifuta ila nilizitumia kwenye baadhi ya websites muhimu kwahiyo kama kuna njia ya kuzipata tena zote naombeni msaada.
1 Reactions
0 Replies
333 Views
Ni wiki la pili sasa simu yangu camon 16s inakua na tabia ya kuzima mwanga nikiwa napiga na cwezi fanya lolote mpaka niombe niliyempia akate yy ndo mwanga unatokea!! Naombeni msaada kwa hili tatizo
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Habar wakuu.... Hoja yangu,naitaji kuwa mmiliki wa akaunt ya YouTube itakayo kua inalipwa....sifaamu chochote kuusiana na taratibu zao... Mwenye kujua naomba anisaidie nipate mwongozo...
1 Reactions
76 Replies
25K Views
Wakuu nimeagiza mizigo kama mitano hivi sema inakuja Kwa njia tofouti minne inakuja na caniao super economy japo ni mmoja tu ndio code number yake ndio imeanza na TZ ila mingine ni LP na mmoja ni...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom