Wakuu nataka kununua friji used
Kuna jamaa yangu kaniambia alinunua friji used linakula umeme balaa
Nikaona nilete specification za hilo friji hapa wataalam mnipe ushauri namna linavyokula umeme kwa siku nk
Na friji la spec gani ambalo lina unafuu kwenye matumizi ya umeme 24/7
Nawasilisha
Kuna jamaa yangu kaniambia alinunua friji used linakula umeme balaa
Nikaona nilete specification za hilo friji hapa wataalam mnipe ushauri namna linavyokula umeme kwa siku nk
Na friji la spec gani ambalo lina unafuu kwenye matumizi ya umeme 24/7
Nawasilisha