Xiang Hao
Senior Member
- Nov 19, 2016
- 126
- 97
habari wanajukwaa mimi ni blogger mchanga ninaejaribu kuziendea ndoto zangu nilifungua app siku mingi kidogo hapo nyuma sasa ni zaidi ya miezi miwili nimefikisha usd 10 ambapo kwa sheria za google natakiwa kupokea pin katika sanduku la barua lakini mimi sina naomba msaada yeyote anaeweza kunisaidia nahitaji msaada kwa mwenye uwezo
shukrani
shukrani