TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,743
- 4,145
Jamani nahitaji programmer anifundishe coding kwa kuanzia na C++ Awe DAR.
Nicheki PM
Nicheki PM
Kwanini unataka kuanza na C++Jamani nahitaji programmer anifundishe coding kwa kuanzia na C++ Awe DAR.
Nicheki PM
Hata huyo programmer utayempata kajifunzia youtube (hata kama kasoma chuo kikuu). Ingia youtube search "C++ tutorials" then hakikisha una bando la kutosha then jifungie ndani jisomee.Jamani nahitaji programmer anifundishe coding kwa kuanzia na C++ Awe DAR.
Nicheki PM
Sio lazima.Anza na C
Itampa foundation nzuri kuliko kuanza na C++ Moja Kwa mojaSio lazima.
C++ usiippe kipaumbele nakushauri anza na python. Ninasomea Insustrial engineering python ndo programming language inayotumika katika mitambo na machine nyingi duniani. Software za magari yote ya ujerumani zimeandikwa na Python.Jamani nahitaji programmer anifundishe coding kwa kuanzia na C++ Awe DAR.
Nicheki PM
👍👍👍👍kweli kabisa Dogo anajua sana.Kuna channel inaitwa giraffe academy sijiu kama bado ipo, nilitumia kujifunza ruby na advance c++
Kila mwamba ngoma huvutia upande wake. Bila shaka ana sababu ya kuanza na c++. Ungemuuliza lengo lake hasa anataka kuwa base wapi huenda angekwambia.C++ usiippe kipaumbele nakushauri anza na python. Ninasomea Insustrial engineering python ndo programming language inayotumika katika mitambo na machine nyingi duniani. Software za magari yote ya ujerumani zimeandikwa na Python.
Ulilosema ni kweli kuna watu wamekalili syntax lakini hawezi kuitengenezea kitu chochote cha maana.Mtoa mada pitia uzi wa tango nafundisha programming kwa bei nzuri umemewekwa hivi punde. Ukipata mwalimu ni nzuri kwa sababu concept nyingi utazijua mda mfuli.
Hakikisha unamkagua mwalimu wako
Credentials zake. Akuoneshe wasifu wake wa kitaaluma. Kusoma you tube hakufanyi mtu awe mwalimu bora.
Tafuta mwalimu alisoma haya mambo CHUONI na amefanya kazi ya haya mambo walau miaka kadhaa na mwenye uzoefu wa kutosha.
Angalia usijepigwa na makanjanja. Wengine wamekalili tu syntax watakwambia wao ni walimu.
Hukuwa na MENTOR mzuri. Programming haitakiwi ujifunze kama elimu ya darasani. Yenyewe ina muelekeo tofauti kabisa.Ulilosema ni kweli kuna watu wamekalili syntax lakini hawezi kuitengenezea kitu chochote cha maana.
Sema pia ni kujiongeza mimi kuna mtu alinifunza c++ mpaka nafika sehemu sasa ya concept ya objective oriented sikuwa naelewa chochote na wala sikuwa naona yote niliyojifunza naweza yafanyia nini nikaacha. Nimeanza jifunza upya mwaka huu baada ya miaka karibia 8, najifunza mimi mwenyewe na naona nmepiga hatua kubwa naweza weka concept zangu nikachapa code nakaunga na UI nw zikarun jambo ambalo linanipa moyo.
Kuna trainer ameweka tangazo. Uzi unajitegemea.Self learning is not for everybody.
You tube amd online articles hizo zote ni self learning bit not everyone can afford it. Kama yupo trainner yy ndio anamtaka..jitokezen au muelekezn atakapo mpata
Yah aliyekuwa ananifunza ni mtaalam sana yania sana anaunda projects kibao ila alinipga fasta na sikuwa ninaelewa.Hukuwa na MENTOR mzuri. Programming haitakiwi ujifunze kama elimu ya darasani. Yenyewe ina muelekeo tofauti kabisa.
Mfano msoma hesabu yeye huwa analenga kuprove theorem bila hata kujua hizo theorem au laws zitatumika wapi.
Programmming sio kujua syntax tu bali zinavyoweza kuleta matokeo chanya ya tatizo.
Ulikuwa unakariri syntax kama watu wa hesabu, baada ya miaka 8 umejifunza njia bora za kujifunza programming.
Mimi nilijua mapema kuwa unatakiwa ufanye kwa vitendo kilichoniangusha good tools ambazo ni computer nzuri, software nzuri na muda wa kutosha .
IDE zimenizingua sana, bado kuna hizo framework. IDE moja inabidi upandanishe viprogram kibao.
Viteknolojia vingi vingi uuunge ili upate kitu.
is very boredom!
Sasa mimi ni mwanafunzi carriculum inataka nianze na hiyo,python nitajifunza on my ownC++ usiippe kipaumbele nakushauri anza na python. Ninasomea Insustrial engineering python ndo programming language inayotumika katika mitambo na machine nyingi duniani. Software za magari yote ya ujerumani zimeandikwa na Python.
Mimi nasoma ETE,,Tunafundishwa hiyo na ndio tumeanza nayoC++ usiippe kipaumbele nakushauri anza na python. Ninasomea Insustrial engineering python ndo programming language inayotumika katika mitambo na machine nyingi duniani. Software za magari yote ya ujerumani zimeandikwa na Python.