Airtel Tanzania wamekuja na huduma ya eSIM

Heisenberg

JF-Expert Member
Apr 26, 2017
1,683
2,906
IMG_6134.jpg


Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tz imekuja na huduma ya eSIM ambayo imekua ikisubiliwa sana.

Huduma hii itawapa watumiaji nafasi ya kutumia zaidi ya namba moja kwenye simu moja bila kuongeza (Phisical SIM) Nyingine.

Watumiaji wa Iphone wengine hasa kuanzia iphone 11 wana hii huduma kwenye simu zao ila kwa muda mrefu wamekua hawawezi kupata hii huduma ya eSIM
IMG_6136.jpg



Nchi kama USA ina huduma hii kwa muda mrefu, huku nchi zinazoendelea tukiendelea kusugua benchi.

Sasa Airtel tanzania wametutoa kimasomaso.
IMG_6138.jpg

Kwa watumiaji hususani wa iphone ili kujua kama simu yako ina hii huduma bonueza *#06# itatokea picha kama hiyo utaona simu ina IMEI namba mbili licha ya kuwa simu ni ya line moja.

Pia lazima Simu yako iwe EID. namba hii hutumika na carrier wako (Airtel) wakati wa kuisajili huduma hii.

Tembelea branch yoyote ya airtel kwa msaada.
 
Hii teknolojia ni zaidi ya iSIM? Zinatofautiana vipi?

ni tofauti kidogo. inahitaji some technical capabilities kuelewa.

eSIM ni line imechomelewa kwenye Simu ipo blank so inahitaji kuwa assigned carrier pamoja na namba ndio ifanye kazi. ndio maana inaitwa embeded yaani kama kuambatanishwa au kishikizwa au kubebeshwa.

lakini

iSIM is an emrging technolgy (integrated SIM) of which SIM inakua ndani ya CPU ya simu Or tuite SOC ya simu. So inakua sio phisical tena ikachomelewa kwenye mother board/ PCB ya simu yako.

advantege ya iSIM ipo kwenye nyanja ya usalama japo sio kiviiile kwa sababu eSIM na ISIM zinatumia tech moja lakini pia itasaidia Kupunguza matumizi ya umeme kwenye simu yako maana inakuwa sio hardware

So iSIM pia itafaa sana kwenye vifaa vidoge (micro) kama saa nk. pia itarahisisha Mteja kujiunga na carrier amtakae kwa urahisi
 
Back
Top Bottom