Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kuna hii machine ya kitambo sana kichwa chake hiko kilizingua nikaiweka kando. Nataka kuifufua niinunulie kichwa chingine. Spika zake zote ziko vizuri Au kama kuna namna ya kuunga spika zake na...
2 Reactions
12 Replies
683 Views
Je umekuwa ukitafuta mahali unaweza weka Miziki yako baada ya Kuweka Cover katika hiz Nyimbo ili ubrand jina au Website jina lake sasa karibu KWETU CLOUD ni Kikundi ambacho kimeanzisha Panel...
0 Reactions
0 Replies
448 Views
Kutengeneza mobile au web application haitofautiani sana na ukandarasi wa majengo, kwamba kabla Engineer hajanyanyua mjengo ni lazima awe na design au ramani ya jengo, kutoka kwa Architect. Ndivyo...
0 Reactions
10 Replies
829 Views
kupoteza data huwa ni hasara kubwa, ni heri upoteze au uibiwe laptop ama simu lakini uwe na backup Laptop yangu ina storage mbili A. 128 GB SSD - Hii nimeweka window, programs na documents, ina...
1 Reactions
11 Replies
813 Views
Habari wakuu? Nilinunua hisense smart 4k inch 58. Miezi miwili iliyopita. Sasa jana kwa bahati mbaya ime crak kioo. Na warant inasema mwaka mmoja. Je naweza wasiliana na mwenye duka akanipa tv...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu , kama Kuna fundi anaeweza kurekebisha hii redio anitafute pm, mm nipo Dar so na yeye awe Dar Shida yake ni ukiiwasha inawaka izi taa za pembeni pekee
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Huduma ya internet ya bei nafuu na yenye kasi kubwa ya Bwana Elon Musk ya Starlink sasa inapatikana Msumbiji. Sasa karibu nchi zote zinazoizunguka Tanzania zina Starlink. Tanzania tunasubiri Elon...
5 Reactions
16 Replies
1K Views
Naomba kujua nn tatizo kwenye hiki kingamuzi cha azam. Naona ghafla tu chanel zote za mpira hazionekan kwenye orodha ya chanel na salio lipo la kutosha, nimejaribunku search automatic lakin...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Sikuhizi watu wengi wamejiajiri kama content creator. Sasa ukitaka content zenye quality nzuri unahitaji mahali patulivu pa kurekodia sauti. Nauliza kuunda booth ya kienyeji ya kurekodia itaweza...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wapenzi wa teknolojia! Habari za kusisimua kwenu wanafunzi wa chuo ni kwamba simu ya TECNO SPARK 20 inatarajiwa kuzinduliwa chuoni UDSM tarehe 06 Februari 2024, hii itakuwa ya kipekee sana...
0 Reactions
7 Replies
765 Views
Picha linaanza unakuta profile picture yake ni ya kibabe Ila kwa vitendo sasa unaona kabisa ni sifuri Wanajua zaidi kupiga domo kwenye misamiati na vitu maneno technical ila vitendo 0...
34 Reactions
123 Replies
9K Views
Maoni!! Wengi huwa tuna malengo ya kujifunza mambo mapya huu mwanzo wa mwaka, Je ni kipi cha kujifunza kati ya animation na programming? Kama mimi ningeambiwa nichague ningeenda na...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Hi. Mfano wa hizo technology zenyewe ni 1. QLED 2. OLED 3. ULED 4. UHD4K 5. VIDAA 6. NAnocell 7. CrystalUHD 8. NeoQLED 9. OLEDevo 10. iphone 13 Ukichukua hiyo tv mpya na tv ambayo ulinunua...
6 Reactions
20 Replies
4K Views
๐—”๐—ฝ๐—ฝ๐—น๐—ฒ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐˜„๐—ฎ๐—ผ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—”๐—ป๐—ฑ๐—ฟ๐—ผ๐—ถ๐—ฑ ๐—ธ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ท๐—ถ๐—ฎ ๐˜€๐—ถ๐—บ๐˜‚ ๐˜‡๐—ฎ๐—ผ Store ya Kampuni ya apple nchini china imewaonya watumiaji wa iphone 15 series kuacha kuchaji simu zao kwa...
9 Reactions
50 Replies
4K Views
Habari za muda huu sons and beautiful daughters of men. Ninyoke kwenye mada. Hivi hawa samsung wameshindwa kabisa kutengeneza batteries au vip yaani simu kama note 10 ina 3500mah s10 3400mah ...
8 Reactions
189 Replies
22K Views
Katika pita pita zangu mtandaaoni, nimekutana na review ya device za Huawei na Harmony OS kwa who is the boss. Aisee Harmony OS ni kali sana, hasa devices zake zinavyopair na kuinteract yani ni...
1 Reactions
3 Replies
581 Views
Wakuu mganga ajigangi nimepata hii shida kila nikisajili namba yangu whatsapp au kusajilia namba yangu kisha nibadilishe kwenye hii namba Huu ujumbe nimeteseka sana nao na hapo natumia official...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
...
0 Reactions
8 Replies
761 Views
wakuu kwema msaada kwenye tuta,nina vibarua kama 100 nimepewa jukumu la kuwalipa kila siku baada ya kazi kuisha waliorodhesha namba zao kwahyo kila ikifika saa 10 kila mmoja anatumiwa pesa yake...
3 Reactions
10 Replies
843 Views
Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu, Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android. 1. Number row on keyboard hamna. 2. Text massage app yao huwezi ku...
46 Reactions
332 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ