Kuna hii machine ya kitambo sana kichwa chake hiko kilizingua nikaiweka kando. Nataka kuifufua niinunulie kichwa chingine. Spika zake zote ziko vizuri
Au kama kuna namna ya kuunga spika zake na...
Je umekuwa ukitafuta mahali unaweza weka Miziki yako baada ya Kuweka Cover katika hiz Nyimbo ili ubrand jina au Website jina lake sasa karibu
KWETU CLOUD ni Kikundi ambacho kimeanzisha Panel...
Kutengeneza mobile au web application haitofautiani sana na ukandarasi wa majengo, kwamba kabla Engineer hajanyanyua mjengo ni lazima awe na design au ramani ya jengo, kutoka kwa Architect.
Ndivyo...
kupoteza data huwa ni hasara kubwa, ni heri upoteze au uibiwe laptop ama simu lakini uwe na backup
Laptop yangu ina storage mbili
A. 128 GB SSD - Hii nimeweka window, programs na documents, ina...
Habari wakuu?
Nilinunua hisense smart 4k inch 58. Miezi miwili iliyopita. Sasa jana kwa bahati mbaya ime crak kioo. Na warant inasema mwaka mmoja. Je naweza wasiliana na mwenye duka akanipa tv...
Habari zenu wakuu , kama Kuna fundi anaeweza kurekebisha hii redio anitafute pm, mm nipo Dar so na yeye awe Dar
Shida yake ni ukiiwasha inawaka izi taa za pembeni pekee
Huduma ya internet ya bei nafuu na yenye kasi kubwa ya Bwana Elon Musk ya Starlink sasa inapatikana Msumbiji.
Sasa karibu nchi zote zinazoizunguka Tanzania zina Starlink. Tanzania tunasubiri Elon...
Naomba kujua nn tatizo kwenye hiki kingamuzi cha azam. Naona ghafla tu chanel zote za mpira hazionekan kwenye orodha ya chanel na salio lipo la kutosha, nimejaribunku search automatic lakin...
Sikuhizi watu wengi wamejiajiri kama content creator. Sasa ukitaka content zenye quality nzuri unahitaji mahali patulivu pa kurekodia sauti. Nauliza kuunda booth ya kienyeji ya kurekodia itaweza...
Habari wapenzi wa teknolojia! Habari za kusisimua kwenu wanafunzi wa chuo ni kwamba simu ya TECNO SPARK 20 inatarajiwa kuzinduliwa chuoni UDSM tarehe 06 Februari 2024, hii itakuwa ya kipekee sana...
Picha linaanza unakuta profile picture yake ni ya kibabe
Ila kwa vitendo sasa unaona kabisa ni sifuri
Wanajua zaidi kupiga domo kwenye misamiati na vitu maneno technical ila vitendo 0...
Maoni!!
Wengi huwa tuna malengo ya kujifunza mambo mapya huu mwanzo wa mwaka,
Je ni kipi cha kujifunza kati ya animation na programming?
Kama mimi ningeambiwa nichague ningeenda na...
Hi. Mfano wa hizo technology zenyewe ni
1. QLED
2. OLED
3. ULED
4. UHD4K
5. VIDAA
6. NAnocell
7. CrystalUHD
8. NeoQLED
9. OLEDevo
10. iphone 13
Ukichukua hiyo tv mpya na tv ambayo ulinunua...
๐๐ฝ๐ฝ๐น๐ฒ ๐ถ๐บ๐ฒ๐๐ฎ๐ผ๐ป๐๐ฎ ๐๐ฎ๐๐๐บ๐ถ๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ฎ๐ธ๐ฒ ๐ธ๐๐ฎ๐ฐ๐ต๐ฎ ๐ธ๐๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฐ๐ต๐ฎ๐ท๐ถ ๐๐ฎ ๐๐ป๐ฑ๐ฟ๐ผ๐ถ๐ฑ ๐ธ๐๐ฐ๐ต๐ฎ๐ท๐ถ๐ฎ ๐๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ๐ผ
Store ya Kampuni ya apple nchini china imewaonya watumiaji wa iphone 15 series kuacha kuchaji simu zao kwa...
Habari za muda huu sons and beautiful daughters of men.
Ninyoke kwenye mada. Hivi hawa samsung wameshindwa kabisa kutengeneza batteries au vip yaani simu kama note 10 ina 3500mah s10 3400mah ...
Katika pita pita zangu mtandaaoni, nimekutana na review ya device za Huawei na Harmony OS kwa who is the boss.
Aisee Harmony OS ni kali sana, hasa devices zake zinavyopair na kuinteract yani ni...
Wakuu mganga ajigangi nimepata hii shida kila nikisajili namba yangu whatsapp au kusajilia namba yangu kisha nibadilishe kwenye hii namba
Huu ujumbe nimeteseka sana nao na hapo natumia official...
wakuu kwema
msaada kwenye tuta,nina vibarua kama 100 nimepewa jukumu la kuwalipa kila siku baada ya kazi kuisha waliorodhesha namba zao kwahyo kila ikifika saa 10 kila mmoja anatumiwa pesa yake...
Yaani nimekuwa disappointed sana na hii simu,
Ina complications na ina lack features ambazo ni za kawaida sana kwenye android.
1. Number row on keyboard hamna.
2. Text massage app yao huwezi ku...