Elon Musk: Starlink sasa yaingia Msumbiji

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Huduma ya internet ya bei nafuu na yenye kasi kubwa ya Bwana Elon Musk ya Starlink sasa inapatikana Msumbiji.

Sasa karibu nchi zote zinazoizunguka Tanzania zina Starlink. Tanzania tunasubiri Elon Musk aje ajenge ofisi Tanzania kwanza.

Huduma ya Starlink inanunuliwa kwa dollar 500 sawa na milioni 1.2 ila hiyo pesa unarudishiwa kwenye matumizi ya kila mwezi hadi iishe.

Huduma ya Starlink unapewa Terabyte 1 kwa shilingi elfu 80 kwa mwezi. Ukiimaliza kabla mwezi haujaisha utapata huduma ya internet kwa siku zilizobaki ila kwa speed ndogo sio kasi sana. Kwa maana nyingine huduma ya internet ya Starlink ni unlimited.

Kwa sasa Vodacom wanauza GB moja kwa TZS 2,083.33, yani karibu elfu 2 na mia moja

Kwa GB 1,024 ambayo ni Terabyte 1 utapata kwa (2,083x1,024) TZS 2, 133, 333.33(Milioni 2 na laki 1 elfu 33).

Huduma ambayo tungeweza kupata kwa elfu 80 sasa tunaipata kwa milioni 2 na bado speed ni ya kobe. 5G ama 4G iko kwenye makaratasi ila uhalisia tunapata speed ya 3G.

Nape anatukosea sana.

View: https://twitter.com/elonmusk/status/1743364627138814108?s=19
 
Huduma ya internet ya bei nafuu na yenye kasi kubwa ya Bwana Elon Musk ya Starlink sasa inapatikana Msumbiji.

Sasa karibu nchi zote zinazoizunguka Tanzania zina Starlink. Tanzania tunasubiri Elon Musk aje ajenge ofisi Tanzania kwanza.

Huduma ya Starlink inanunuliwa kwa dollar 500 sawa na milioni 1.2 ila hiyo pesa unarudishiwa kwenye matumizi ya kila mwezi hadi iishe.

Huduma ya Starlink unapewa Terabyte 1 kwa shilingi elfu 80 kwa mwezi. Ukiimaliza kabla mwezi haujaisha utapata huduma ya internet kwa siku zilizobaki ila kwa speed ndogo sio kasi sana. Kwa maana nyingine huduma ya internet ya Starlink ni unlimited.

Kwa sasa Vodacom wanauza GB moja kwa TZS 2,083.33, yani karibu elfu 2 na mia moja

Kwa GB 1,024 ambayo ni Terabyte 1 utapata kwa (2,083x1,024) TZS 2, 133, 333.33(Milioni 2 na laki 1 elfu 33).

Huduma ambayo tungeweza kupata kwa elfu 80 sasa tunaipata kwa milioni 2 na bado speed ni ya kobe. 5G ama 4G iko kwenye makaratasi ila uhalisia tunapata speed ya 3G.

Nape anatukosea sana.

View: https://twitter.com/elonmusk/status/1743364627138814108?s=19

Tusubiri uchaguzi 2025 upite.
 
Shida ya hizi satellite Internet ni kwamba hapa tcra hawata weza kivi control, starlink ipo US, kama trca wakitaka kufungia site za ngono, jf, twitter au kipindi cha uchaguzi wazime Internet starlink hawatakubali
 
Sio internet kwa masikini...Hiyo safi camp sites mbugani ....etc ndio majumbani streaming na normal internet usage...pia gharama zake awali kubwa watanzania hatuwezi....twende modem za mitandao simu inatosha
 
Huduma ya internet ya bei nafuu na yenye kasi kubwa ya Bwana Elon Musk ya Starlink sasa inapatikana Msumbiji.

Sasa karibu nchi zote zinazoizunguka Tanzania zina Starlink. Tanzania tunasubiri Elon Musk aje ajenge ofisi Tanzania kwanza.

Huduma ya Starlink inanunuliwa kwa dollar 500 sawa na milioni 1.2 ila hiyo pesa unarudishiwa kwenye matumizi ya kila mwezi hadi iishe.

Huduma ya Starlink unapewa Terabyte 1 kwa shilingi elfu 80 kwa mwezi. Ukiimaliza kabla mwezi haujaisha utapata huduma ya internet kwa siku zilizobaki ila kwa speed ndogo sio kasi sana. Kwa maana nyingine huduma ya internet ya Starlink ni unlimited.

Kwa sasa Vodacom wanauza GB moja kwa TZS 2,083.33, yani karibu elfu 2 na mia moja

Kwa GB 1,024 ambayo ni Terabyte 1 utapata kwa (2,083x1,024) TZS 2, 133, 333.33(Milioni 2 na laki 1 elfu 33).

Huduma ambayo tungeweza kupata kwa elfu 80 sasa tunaipata kwa milioni 2 na bado speed ni ya kobe. 5G ama 4G iko kwenye makaratasi ila uhalisia tunapata speed ya 3G.

Nape anatukosea sana.

View: https://twitter.com/elonmusk/status/1743364627138814108?s=19

1. Installation fee ni zaidi ya Dola 600 msumbiji ambayo ni zaidi ya milioni na nusu kibongo bongo na sijasikia popote eti hii Hela unarudishiwa

2. Fee ya mwezi ni Dola 47 ambayo ni kama 120,000

3. Si kweli kwamba eti Tanzania ukitaka 1TB unaipata kwa hizo Hela ulizozisema, kibongo bongo unlimited inaanza 25,000 kwa TTCL na za 5G zinaanzia 70,000.

5G ya 70,000 in theory inaweza kudownload zaidi ya 3TB.

Kenya na Nigeria mulizi hype wee, Kiko wapi Sasa hivi watu wameweka wamezitoa wanaendelea kutumia fiber na 5G.
 
1. Installation fee ni zaidi ya Dola 600 msumbiji ambayo ni zaidi ya milioni na nusu kibongo bongo na sijasikia popote eti hii Hela unarudishiwa

2. Fee ya mwezi ni Dola 47 ambayo ni kama 120,000

3. Si kweli kwamba eti Tanzania ukitaka 1TB unaipata kwa hizo Hela ulizozisema, kibongo bongo unlimited inaanza 25,000 kwa TTCL na za 5G zinaanzia 70,000.

5G ya 70,000 in theory inaweza kudownload zaidi ya 3TB.

Kenya na Nigeria mulizi hype wee, Kiko wapi Sasa hivi watu wameweka wamezitoa wanaendelea kutumia fiber na 5G.
1. Mkuu unaweza kua sahihi kwenye namba 1. Labda mimi ndio sina taarifa sahihi. I am always open for new ideas and information.

2. Kwenye namba 3, ninayo ya TTCL, hapa hapa Dar lakini niliamua kuachana nayo, speed ya kobe. Umesema vyema kwenye theory unaweza ku download 3TB, tukiachana na theory, una ushahidi wa uhalisia wanatoa TB ngapi?

Mkuu unaweza kutoa ushahidi kwamba Kenya na Nigeria watu wameachana na Starlink sasa wanatumia Fiber?
 
1. Installation fee ni zaidi ya Dola 600 msumbiji ambayo ni zaidi ya milioni na nusu kibongo bongo na sijasikia popote eti hii Hela unarudishiwa

2. Fee ya mwezi ni Dola 47 ambayo ni kama 120,000

3. Si kweli kwamba eti Tanzania ukitaka 1TB unaipata kwa hizo Hela ulizozisema, kibongo bongo unlimited inaanza 25,000 kwa TTCL na za 5G zinaanzia 70,000.

5G ya 70,000 in theory inaweza kudownload zaidi ya 3TB.

Kenya na Nigeria mulizi hype wee, Kiko wapi Sasa hivi watu wameweka wamezitoa wanaendelea kutumia fiber na 5G.
Ila mkuu hizo unlimited za bongo ni uhuni tu. Wanakupa bundle unlimited halafu wanashusha speed ya internet.

In the end subscription period yako inaisha unakuwa haujatumia hata gharama za hiyo fee yao kama ungekuwa na bundle za kawaida tu.
 
Ila mkuu hizo unlimited za bongo ni uhuni tu. Wanakupa bundle unlimited halafu wanashusha speed ya internet.

In the end subscription period yako inaisha unakuwa haujatumia hata gharama za hiyo fee yao kama ungekuwa na bundle za kawaida tu.
Sio bundle za 5G ama fiber, tembelea huu Uzi Watu kibao wanaweka Ushahidi wa GB wanazotumia,


Hapo mtu katumia zaidi ya GB 800
 
1. Mkuu unaweza kua sahihi kwenye namba 1. Labda mimi ndio sina taarifa sahihi. I am always open for new ideas and information.

2. Kwenye namba 3, ninayo ya TTCL, hapa hapa Dar lakini niliamua kuachana nayo, speed ya kobe. Umesema vyema kwenye theory unaweza ku download 3TB, tukiachana na theory, una ushahidi wa uhalisia wanatoa TB ngapi?
Ttcl ipi na speed Gani? Fiber ya ttcl ukitoa ping za Africa na customer care yao mbovu inakimbiza vizuri tu.

Huu Uzi mrefu una feedback nyingi toka kwa member wengi watu wanashusha Hadi GB 100 kwa siku hii feedback Moja



Mkuu unaweza kutoa ushahidi kwamba Kenya na Nigeria watu wameachana na Starlink sasa wanatumia Fiber?

View: https://twitter.com/_lennoxomondi/status/1723060544054104407?t=DitAijpYfup2_gnXu95t6g&s=19


View: https://www.reddit.com/r/Kenya/comments/17sr9ba/your_experience_with_starlink/

Kuna source nyingi tu za Kenya Wana discuss hizi issue lakini vikubwa ni

1. Kwenye Mvua Starlink inakaa kata
2. Upload speed ndogo
3. Ping mbovu 100ms mpaka 400ms hapa inapitwa Hadi na 3G.

Mwisho wa siku tumia Starlink vijinini tu na Maeneo ambayo hakuna 4G ila hakuna Technology hapo kushindana na Fiber na 4G/5G unlimited.
 
Huduma ya internet ya bei nafuu na yenye kasi kubwa ya Bwana Elon Musk ya Starlink sasa inapatikana Msumbiji.

Sasa karibu nchi zote zinazoizunguka Tanzania zina Starlink. Tanzania tunasubiri Elon Musk aje ajenge ofisi Tanzania kwanza.

Huduma ya Starlink inanunuliwa kwa dollar 500 sawa na milioni 1.2 ila hiyo pesa unarudishiwa kwenye matumizi ya kila mwezi hadi iishe.

Huduma ya Starlink unapewa Terabyte 1 kwa shilingi elfu 80 kwa mwezi. Ukiimaliza kabla mwezi haujaisha utapata huduma ya internet kwa siku zilizobaki ila kwa speed ndogo sio kasi sana. Kwa maana nyingine huduma ya internet ya Starlink ni unlimited.

Kwa sasa Vodacom wanauza GB moja kwa TZS 2,083.33, yani karibu elfu 2 na mia moja

Kwa GB 1,024 ambayo ni Terabyte 1 utapata kwa (2,083x1,024) TZS 2, 133, 333.33(Milioni 2 na laki 1 elfu 33).

Huduma ambayo tungeweza kupata kwa elfu 80 sasa tunaipata kwa milioni 2 na bado speed ni ya kobe. 5G ama 4G iko kwenye makaratasi ila uhalisia tunapata speed ya 3G.

Nape anatukosea sana.

View: https://twitter.com/elonmusk/status/1743364627138814108?s=19

Unawezaje kumlaumu Nape ukamwacha rais?

Nape ana nguvu kuliko rais?
 
Sio internet kwa masikini...Hiyo safi camp sites mbugani ....etc ndio majumbani streaming na normal internet usage...pia gharama zake awali kubwa watanzania hatuwezi....twende modem za mitandao simu inatosha

Watanzania maskini wanaweza kujichanga nyumba kadhaa kama mbili, tatu, nne, tano kumi kuchangia gharama na ku-share internet.

Ni nafuu sana watu wakijipanga.
 
Watanzania maskini wanaweza kujichanga nyumba kadhaa kama mbili, tatu, nne, tano kumi kuchangia gharama na ku-share internet.

Ni nafuu sana watu wakijipanga.
Hahajajjaja nadharia zaidii pia speed sio hiyo unaizoea ile iko slow sanaaa....sikia tu promo mm najua nachokuambiaaaa
 
Ttcl ipi na speed Gani? Fiber ya ttcl ukitoa ping za Africa na customer care yao mbovu inakimbiza vizuri tu.

Huu Uzi mrefu una feedback nyingi toka kwa member wengi watu wanashusha Hadi GB 100 kwa siku hii feedback Moja





View: https://twitter.com/_lennoxomondi/status/1723060544054104407?t=DitAijpYfup2_gnXu95t6g&s=19


View: https://www.reddit.com/r/Kenya/comments/17sr9ba/your_experience_with_starlink/

Kuna source nyingi tu za Kenya Wana discuss hizi issue lakini vikubwa ni

1. Kwenye Mvua Starlink inakaa kata
2. Upload speed ndogo
3. Ping mbovu 100ms mpaka 400ms hapa inapitwa Hadi na 3G.

Mwisho wa siku tumia Starlink vijinini tu na Maeneo ambayo hakuna 4G ila hakuna Technology hapo kushindana na Fiber na 4G/5G unlimited.

Yeah, nimesoma hizo cases za Starlink speed kushuka wakati wa mvua lakini nadhani bado ni malalamiko ya case by case. Generally Starlink ikija bongo itaongeza ushindani na kufanya maeneo ambayo hakuna mtandao upatikane kwa urahisi.
 
Yeah, nimesoma hizo cases za Starlink speed kushuka wakati wa mvua lakini nadhani bado ni malalamiko ya case by case. Generally Starlink ikija bongo itaongeza ushindani na kufanya maeneo ambayo hakuna mtandao upatikane kwa urahisi.
Hilo la maeneo yasiyo na mTandao hata Mimi sikatai, Kuna Ngo's, wananchi wa kawaida vijijini, serikali etc ambao wanahitaji internet vijijini, itasaidia.
 
Back
Top Bottom