sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Picha linaanza unakuta profile picture yake ni ya kibabe
Ila kwa vitendo sasa unaona kabisa ni sifuri
Wanajua zaidi kupiga domo kwenye misamiati na vitu maneno technical ila vitendo 0, utasikia naweza kupiga sql injection nipate password zote, System naweza kuitungua ddos ile, nikikaa man in the middle attack huchomoki, system ikiwa ngumu kupenya natumia reverse social engineering, n.k. haya sasa mwambie atekeleze, visingizio ataanza ooohh sina bando, Ohh unajua hii system ni mpya. dah sema nina mambo memngi haya mambo inabidi ufocuss.. blablabla.
Laptops zao huwa wanaweka windows wanaongezea na Linux, hio linux inakuwa ya kuzugia tu kujimwambafai "mimi ni hacker siwezi tumia hizo toys za windows" na hapo sasa mwambie aitumie hio linux kufanya chochote tu cha kuhack, mtapoteana !! Kwenye simu nako si haba wana vi apps vya kuzugia, app maarufu ni turmux,
Mafanikio yao wengi huwa ni kupata mafaili ya ha - tunnel, na hapo wameyachukua kwa wahindi na wanaijeria, faili likikubali yani atawasumbua sana, mitandao ikijua kuna file la vpn wakilipiga pini kunaweza kukawa na ukame wa free unlimited interenet kwa miezi hata sita, mda huo hulazimika kutumia vpn zenye kikomo cha MB mfano kwa siku MB 200 tu au kutumia vpn zenye speed ya kobe.
Ila kwa vitendo sasa unaona kabisa ni sifuri
Wanajua zaidi kupiga domo kwenye misamiati na vitu maneno technical ila vitendo 0, utasikia naweza kupiga sql injection nipate password zote, System naweza kuitungua ddos ile, nikikaa man in the middle attack huchomoki, system ikiwa ngumu kupenya natumia reverse social engineering, n.k. haya sasa mwambie atekeleze, visingizio ataanza ooohh sina bando, Ohh unajua hii system ni mpya. dah sema nina mambo memngi haya mambo inabidi ufocuss.. blablabla.
Laptops zao huwa wanaweka windows wanaongezea na Linux, hio linux inakuwa ya kuzugia tu kujimwambafai "mimi ni hacker siwezi tumia hizo toys za windows" na hapo sasa mwambie aitumie hio linux kufanya chochote tu cha kuhack, mtapoteana !! Kwenye simu nako si haba wana vi apps vya kuzugia, app maarufu ni turmux,
Mafanikio yao wengi huwa ni kupata mafaili ya ha - tunnel, na hapo wameyachukua kwa wahindi na wanaijeria, faili likikubali yani atawasumbua sana, mitandao ikijua kuna file la vpn wakilipiga pini kunaweza kukawa na ukame wa free unlimited interenet kwa miezi hata sita, mda huo hulazimika kutumia vpn zenye kikomo cha MB mfano kwa siku MB 200 tu au kutumia vpn zenye speed ya kobe.