Ishu ya scrini kucrakHabari wakuu?
Nilinunua hisense smart 4k inch 58. Miezi miwili iliyopita. Sasa jana kwa bahati mbaya ime crak kioo. Na warant inasema mwaka mmoja. Je naweza wasiliana na mwenye duka akanipa tv nyingine?
Ahsante
Ndio inawezekanaHabari wakuu?
Nilinunua hisense smart 4k inch 58. Miezi miwili iliyopita. Sasa jana kwa bahati mbaya ime crak kioo. Na warant inasema mwaka mmoja. Je naweza wasiliana na mwenye duka akanipa tv nyingine?
Ahsante
jibu ni hapana, ku-crack kwa kioo ni uzembe wakomwenye duka akanipa tv nyingine?
Tafuta tu Tv nyingine ata ya inch 43, au 50, mi Tv mikubwa sio ishu. hapo warrant ni geresha tu.Habari wakuu?
Nilinunua hisense smart 4k inch 58. Miezi miwili iliyopita. Sasa jana kwa bahati mbaya ime crak kioo. Na warant inasema mwaka mmoja. Je naweza wasiliana na mwenye duka akanipa tv nyingine?
Ahsante
Warranty inafanyakazi, nilidondosha simu yangu Samsung nikapeleka pale JM mall Kwa Samsung agent ikaandikushwa nikaambiwa nirudi baada ya siku 21 nikakuta wamenibadirishia kioo.Habari wakuu?
Nilinunua hisense smart 4k inch 58. Miezi miwili iliyopita. Sasa jana kwa bahati mbaya ime crak kioo. Na warant inasema mwaka mmoja. Je naweza wasiliana na mwenye duka akanipa tv nyingine?
Ahsante
Msidanganye watu, Mimi nimetumia Warranty several time.Tafuta tu Tv nyingine ata ya inch 43, au 50, mi Tv mikubwa sio ishu. hapo warrant ni geresha tu.
Wewe huoni tofauti hapo?Hivi kuna tofauti gani kati ya warranty na guarantee?
Kama unatumia vifaa vya kielectronic Bila stabilizer au fridge guard unategemea nini?Hakika sisi watanzania wengi hatujui nini maana ya warrant... Tena mimi ndo sijui kabsa. Warant haijawahi kutekelezwa. Na sijui hadi kifaa kiwe vipi ndo tujue hapa warant itumike.
Sababu ukinunua kitu kikileta shida utaambiwa tatizo liko kwako. Mfano Tv ghafla imeungua utaambiwa umeunguza kwa uzembe wako.
Yani inacrack bila kuguswa!! Uchawi upo aiseeWarranty inafanyakazi, nilidondosha simu yangu Samsung nikapeleka pale JM mall Kwa Samsung agent ikaandikushwa nikaambiwa nirudi baada ya siku 21 nikakuta wamenibadirishia kioo.
Wabongo tunadanganyana Sana, TV ipo kwenye show case au ukutani halafu ikreki Kwa nini usirudishe?
Issue siyo lazima upewe TV Mpya, wanaweza wao wakakubadilishia kioo, ndio maana ya zile Warranty wao manucture wanarefund Kwa suppliers wao.
Mishandling ni ujinga wa mtu ukiambiwa hivyo na ukakubari huo upuuzi.