kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,025
- 3,461
wakuu kwema
msaada kwenye tuta,nina vibarua kama 100 nimepewa jukumu la kuwalipa kila siku baada ya kazi kuisha waliorodhesha namba zao kwahyo kila ikifika saa 10 kila mmoja anatumiwa pesa yake (ni makubaliano waliyowekeana)
sasa imefika hatua nachoka naomba kwa wenye uelewa nawezaje kuwatumia watu 100 ujira wao wote wakapata sms kwa pamoja ikiwa natumia M-pesa.
msaada kwenye tuta,nina vibarua kama 100 nimepewa jukumu la kuwalipa kila siku baada ya kazi kuisha waliorodhesha namba zao kwahyo kila ikifika saa 10 kila mmoja anatumiwa pesa yake (ni makubaliano waliyowekeana)
sasa imefika hatua nachoka naomba kwa wenye uelewa nawezaje kuwatumia watu 100 ujira wao wote wakapata sms kwa pamoja ikiwa natumia M-pesa.