Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,826
- 8,681
Habari za muda huu sons and beautiful daughters of men.
Ninyoke kwenye mada. Hivi hawa samsung wameshindwa kabisa kutengeneza batteries au vip yaani simu kama note 10 ina 3500mah s10 3400mah ? Simu hizi na nyinginezo ni nzuri lakini kwenye batteries capacity ni shida.
Wenda kuna sababu siijui ebu karibuni kwa michango na mitazamo yenu
Ninyoke kwenye mada. Hivi hawa samsung wameshindwa kabisa kutengeneza batteries au vip yaani simu kama note 10 ina 3500mah s10 3400mah ? Simu hizi na nyinginezo ni nzuri lakini kwenye batteries capacity ni shida.
Wenda kuna sababu siijui ebu karibuni kwa michango na mitazamo yenu