Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 729
Wadau naomba kwa mwenye uzoefu juu ya hizi solar zinazouzwa na kampuni ya mobisol na hizi za madukani ni zipi nzuri kwa wenye uzoefu nazo? maana ukilinganisha bei ya dukani na hizi za mobisol hawa mobisol bei zao zipo juu sana ila suala la ubora ndo sijalijua naomba ufafanuzi plz....