It looks like Samsung is determined to win back some of its fans that have decided to keep their older flagship smartphones instead of upgrading to Galaxy S6 due to the lack of features like...
Wakuu habari za jioni.
Kuna simu hapa ina tatizo tajwa hapo juu kwamba data ikiwashwa haiungi(connect), haioneshi vile 'vimshale' vinavyoashiria imekuwa connected!
Lakini ukiunga Wi-Fi/hotspot...
Nina simu ya samsung note2 N7100; jioni hii imeanza mazinga umbwe, awali ya yote natumia line ya voda. Sasa ghafla inaniambia (selected network vodacom unavailable) na siwezi kupiga simu wala...
Habari yenu ndg wa jukwaa hili. Jamani anombeni sn msaada kwa wenye ufahamu juu ya namna ya kupata history ya kazi zote zilizofanywa ktk photocopy mashine. Yaani kujua idadi ya copy pages and...
Habari wanajukwaa ,
Natumaini mi wazima WA afya njema na mwaendelea na majukumu ya kila siku .Najitokeza kwenu kuuliza je kwa yeyote yule anayeweza nisaidia kujua kua nitapatawapi simu ya...
Habari za asubuhi wakuu.
Ninatumia simu aina ya samsung galaxy S3 Neo sasa tatizo ni kwamba tangu wiki ilopita napata ujumbe kwamba simu yangu ina virus.
Nifanyeje kukabiliana na hili?
Naomba kujua nini tatizo kila nikijaribu ku insert picha kwenye post /ku upload kinatokea kibox plain hii ni zaidi ya wiki sasa baada ya jf kufanyiwa marekebisho,
Natumia simu ya Samsung galaxy mega GT - I9152, tatizo lake haijai chaji hata ikijaa inatumia muda mwingi, masaa nane (8) na kuendelea. Naomben ushauri
Habari za asubuhi wakuu.
Nina simu niliweka Pin kwa ajili ya security , baada ya kuweka nimejaribu kuifungua bila mafanikio , sasa nahisi kuna namba nilikosea manake sijasahau zile PIN ...
Nina...
Wakuu, habarini za mchana.
Mchina wangu ana tatizo ambapo ha-install program, ha-save chochote wala hawezi kufuta kilichokuwepo kabla ya tatizo. Nilipojaribu kuflash, imetokea error kama...
1) Wifi tethering
2) Overclock the processor
3) Custom ROMs and Kernels
4) Complete customization
5) Early updates to Android version
6) Remove bloatware
7) Take screen shots (for pre Android...
Kampuni ya Netflix leo imetangaza kusambaza huduma zake katika nchi 130 zaidi, ikiwemo Tanzania.
Netflix inatoa huduma ya streaming movies/series/etc na unalipia kwa mwezi.
Kwa mitandao yetu ya...