Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nisaidieni tafadhali kwa sababu vitu nilivyoweka hata MB 50 hazifiki
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Here is the real deal after waiting for some times here is a change we have been waiting. Not so much but to bring the old memory card slot does the job for most of us who love to have our...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari wadau kama mtakumbuka jana nilileta uzi kuhusu kutengenezewa application ya site yangu bt leo nimekomaa mwenyewe nimefanikiwa sasa naomba msaada mpya maana uchumi umeyumba naomba mwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wana jf, kuna tatizo linalo nikera pale napo tumoa Internet, kuna app zinakua zinajitokeza hadi kero, mfano naweza nikafungua app ya live score utashaanga linakuza tangazo la app nyingine...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta mtu ambaye atakuwa tayari tubadilishane, nnayo vodafone tablet nimeitumia kwa miezi 3 tangu niinunue vodashop ipo ktk hali nzuri na nilisha iroot tayari an ideal window phone nnayo hitaji...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman wadau ngependa kujua kama computer engineering ni faculty nzuri kwa hapa bongo kama ilivyo kwa ulaya?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni Kama wiki 2 zinakaribia tangu igundulike kuwepo kwa "bug" katika iOS ambayo hupelekea iPhone kushindwa kuwaka iwapo tarehe katika simu itasetiwa kuwa Mei 1970 kurudi nyuma. Unaweza kusoma zaidi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi kuna uwezekano wowote wa kuvichakachua hivi vichwa vya simu ya mezani vya TTCL ili viweze kutumia line za voda, tigo, nk?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za humu ndani! Nahitaji office ndogo kama 15 sqm maeneo ni sinza, kinondoni, mwenge, makumbusho, mnazimmoja, upanga. kama mtu anayo niPM!
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Hili tatizo la App ya WhatsApp kutopokea meseji mpaka nifungue App husika bila kufanya hivyo sipata meseji ......MSAADA WADAU NB:DATA CONNECTION INAKUA ON LAKIN MESEJI HAZIINGII
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Rafiki yangu ambae anaishi Marekani anataka kunizawadia TV kutoka huko yenye kutumia NTSC ambayo ameshainunua na sisi hapa Tanzania tunatumia Pal secom...Nikamwambia asubiri mpaka nipate maarifa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
This's too much. Nimejaribu ku-Google sijapata jibu and maybe, hapa naweza kupata msaada kwa wadau. In short, natumia Samsung E5. The problem ni kwenye radio. Mara kwa mara huwa inakata wakati ipo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Salam wandugu. Natumai mu-wazima nyote. Kama topic inavyojieleza kuwa natumia Tubemate ku-download videos au movies kutokea Youtube. Sasa kuna baadhi ya videos huwa zinagoma, hizi videos...
0 Reactions
30 Replies
11K Views
Wakuu naomba msaada, Mimi dada yenu napenda sana mziki sasa nataka kumix collection yangu ya nyimbo kama 80 hivi ili ziwe zinapiga bila kuona kama wimbo umeisha...je kuna software gani free...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Natumia huwei y300, lakin Leo wakat nasikiliza redio asubuhi ghafla simu ilizima nilipo iwasha ikawaka then baada ya sekunde chache ikaandika "the temperature is higher than the operating...
0 Reactions
2 Replies
822 Views
Habari za humu wadau,natumia simu aina ya samsung j1 na line ya tigo.Imekuwa ikinisumbua kwa siku kadhaa sasa kiasi kwamba inafikia muda nashindwa kupiga simu,kutuma messages na hata kutumia...
0 Reactions
4 Replies
834 Views
naombeni mwenye kufahamu jinsi ya kudownload windows xp boot cd
0 Reactions
2 Replies
875 Views
Wakuu naomba kuuliza wapi naweza badili camera ya nyuma ya Samsung galaxy s4 na kwa garama ipi?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
waadau naomba mnambia ni softwarew gani nzuri ya kwenye pc ambayo ni nzuri kwa ajili ya kutengeneza beat.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
John McAfee, mwanzilishi wa kampuni mashuhuri ya kutengeneza programu za kuzuia na kupambana na programu za kompyuta, amesema anaweza kuifungua simu aina ya iPhone iliyotumiwa na Syed Farook...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…