Msaada juu ya Pal secom na NTSC

Msaada juu ya Pal secom na NTSC

lidoda

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2008
Posts
641
Reaction score
576
Rafiki yangu ambae anaishi Marekani anataka kunizawadia TV kutoka huko yenye kutumia NTSC ambayo ameshainunua na sisi hapa Tanzania tunatumia Pal secom...Nikamwambia asubiri mpaka nipate maarifa kutoka JF members ndio aniletee
Swali langu je kuna converters zozote ambazo zinaweza kunifanya nitumie hiyo TV.?? hapa sizungumzii converters za video...
Nawakilisha
 
tv ya chogo? siku hizi hatuna tena hayo mambo yameshapitwa na wakati.

tv za sasa hivi ni digitali hayo ya pal na ntsc ni enzi za analogia
 
tv ya chogo? siku hizi hatuna tena hayo mambo yameshapitwa na wakati.

tv za sasa hivi ni digitali hayo ya pal na ntsc ni enzi za analogia
Hapan sio TV ya chogo ni flat screen mkuu
 
Hapan sio TV ya chogo ni flat screen mkuu
kama ni flat screen huna haja ya kuhofia sasa hivi tz tupo digitali hakikisha tu hio tv ina AV cable au Hdmi ving'amuzi vyetu ndio vinavyohitaji.
 
NTSC ni mfumo wa uonyeshaji kwenye screen ambao unatumia ratio ya 16:4 kama sijakosea.

Pal ni mfumo unaotumia 4:3.


Sasa uliyonunuliwa wewe ni kama video nyingi za wasanii wa siku hizi juu na chini ya screen kunakuwa giza video inakuwa katikati tu. Sasa ukiwa unaangalia kama TAARIFA za hapa bongo watakuwa wanabinywa wanakuwa bapa.

lakini huwa zina setting zake za kufanya iendane sawa. Kama.vipi nipe mimi
 
kama ni flat screen huna haja ya kuhofia sasa hivi tz tupo digitali hakikisha tu hio tv ina AV cable au Hdmi ving'amuzi vyetu ndio vinavyohitaji.
Asante sana kwa ushauri wako Chief Mkwawa
 
Back
Top Bottom