Fedora JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 238 Reaction score 173 Feb 21, 2016 #1 Hivi kuna uwezekano wowote wa kuvichakachua hivi vichwa vya simu ya mezani vya TTCL ili viweze kutumia line za voda, tigo, nk?
Hivi kuna uwezekano wowote wa kuvichakachua hivi vichwa vya simu ya mezani vya TTCL ili viweze kutumia line za voda, tigo, nk?
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,229 Reaction score 44,239 Feb 21, 2016 #2 TTCL mezani ni cdma na line unazotaka kueka wewe ni gsm si rahisi kukubali. ila zipo simu za mezani za gsm zinazokubali hii mitandao ya kawaida zunguka ununue
TTCL mezani ni cdma na line unazotaka kueka wewe ni gsm si rahisi kukubali. ila zipo simu za mezani za gsm zinazokubali hii mitandao ya kawaida zunguka ununue
Fedora JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 238 Reaction score 173 Feb 21, 2016 Thread starter #3 Ok. Asante kwa ushauri wako