Hello wanajamvi ...natumaini hamjambo wote ..naomba kujua kutoka kwako unayesoma Uzi huu na mpenz wa smartphone za uhakika na za kijanja...smartphone ipi ya Samsung unaikubali na inaonekana Kali...
Wakuu je naweza kutumia IPAD kama mobile phone. Yani kama kuna option ya kupiga simu au kutuma text au kama apps za kuniwezesha kutumia huduma hzo.
NATANGULIZA SHUKRAN WAKUU
Button za laptop hazifanyi kazi.. kuna baadhi ya button katika laptop yangu ya acer hazifanyi kazi msaada wakuu na sensor ya mouse haifanyi kazi ..je tatizo ni nini mafundi na matechnician...
kwa wale wa taalam wa it ukiwemo chief mkwawa! nina cm yangu aina ya samsung core 350 line moja nilikuwa na down load whatsap matokeo yake ilipofikia asilimia fln cm ikazima, nilipo iwasha...
Pixlr Express Photo editing
Pixlr Express is one of the best and highly rated powerful photo editing app for android. This photo editing tool makes you look like a professional, even if...
Hey,
I just downloaded WhatsApp Messenger on my Android.
It is a smartphone messenger which replaces SMS. This app even lets me send pictures, video and other multimedia!
WhatsApp Messenger is...
JINSI YA KUFANYA SOFTWARE UPDATE KATIKA DECORDER YA BEST HD4U
​
Kwanza download attached software , un_zip, kisha copy file na weka katika flash. Fuata hatua hizi nne (4)
Hatua ya kwanza...
Habar wana jamii...
Flash yangu haikubali kuongeza wala kupunguza wala kuifomati kila nkijarib kufanya hivyo vitu inaniandiakia write protect. ...
Msaada Tafadhali kwa mwenye kufaham. ..
Ahsanteni
Poleni na majukumu wadau. Nashida kwenye PC yangu kila nikiwasha inaandika maneno Hays
Logon process initialization failure.
Please consult the event log for more details .
Alafu aifunguki...
waungwana habari zenu kama heding yangu hapo nahitaji msaada mwenye link nayoweza kupata Microsoft office kuanzia 2010 kuendelea anisaidie please
cc CHIEF MKWAWA na wengineo
Habari wana jamii forum naomba mwenye kujua jinsi ya kuchat snapchat maana nimejiunga naishia kupiga picha na kubadili picha kwenye profile tu mfano nataka nikasome page ya mtu mfano ya wema...
Hello wataalamu,
Naombeni msaada wa maelezo ya kitaalamu kuhusu mtu kuweza kupiga simu ya dharura katika hali zifuatazo:
1. Kuwa nje ya mtandao (No network coverage)
2. Simu ikiwa imefungwa kwa...
Hasa kwa wenye simu za Android au
touchscreen.
Ukiona applications zinakuja na kupotea au simu ipo slow ujue tatizo ni sd card.
Tuwe makini kuepuka sd card za kichina