Msaada jaman kwa anayejua suluhu la hili tatizo!

cleokippo

JF-Expert Member
Dec 21, 2014
2,118
1,797
kwa wale wa taalam wa it ukiwemo chief mkwawa! nina cm yangu aina ya samsung core 350 line moja nilikuwa na down load whatsap matokeo yake ilipofikia asilimia fln cm ikazima, nilipo iwasha haikumaliza yaan inawaka inaishia kuandika neno samsung tu hai boot mpaka mwisho, je kwa anayefaham anisaidie namna ya kufanya ili niweze kuiwasha. nimebonyeza power na volume ili nipate option ya ku restore lkn imekataa
 
kwa samsung ni power + home + volume up ikitokea logo ya samsung unaachilia power huku unaendelea kuhold volume up na home
 
kwa iyo chief nikisha restore tatizo litakuwa limeisha au kuna namna nyingine ya kufanya ili tatizo liishe kabisa?
 
baada ya apo chief msaada tena maana imeleta option ya ku restore
 
ila ujue ukirestore data zako zitafutika. jaribu kustore inaweza kusolve tatizo hilo
 
Back
Top Bottom