Naona jamaa wame update packages zao
Tsh 1500 unapata 18GB kwa siku mbili(usiku tu)
Tsh 500 unapata 1.2GB Kwa usiku mmoja tu.
# ofa hii ni kuanzia saa tano usiku.#
Sijatest speed nasubiria saa tano ifike then ntaleta feedback.
Naona jamaa wame update packages zao
Tsh 1500 unapata 18GB kwa siku mbili(usiku tu)
Tsh 500 unapata 1.2GB Kwa usiku mmoja tu.
# ofa hii ni kuanzia saa tano usiku.#
Sijatest speed nasubiria saa tano ifike then ntaleta feedback.
Hivyo vifurushi viko vingi sana tatizo speed wanabana unakuta hata gb 2 hufikishi, vipi hao halotel speed ikoje, lakini bado airtel baba lao mia sita gb 10 ni sheeda
Hivyo vifurushi viko vingi sana tatizo speed wanabana unakuta hata gb 2 hufikishi, vipi hao halotel speed ikoje, lakini bado airtel baba lao mia sita gb 10 ni sheeda
Mi nimeshaunga tayari mapema nasubiri ifike saa tano niangalie speed Yao ikoje
Leo niliangalia vifurushi vya smart... Nikiwa impressed, nikawaza kuiweka hii sim card ya tigo kwenye wallet maana wameuzi sanaa na hii GB 5 ya usiku pack... Lakini naona kuna wazo la kwenda HALOTEL.. THANKS KWA TAARIFA MKUU...
speed aminia hawa jamaa...nashusha just cause 3 hapa naona fasta tu inashuka...weka halotel tu mkuu
mpaka kumi na mbili mkuu...