Nenda Polisi utasaidiwa! Hata mi nilipoteza Samsung Galaxy Note II nikawasilisha IMEI kituo cha Polisi.
Polisi ilinisaidia hadi kunipa gari na askari kwa gharama zao kumfuata mhalifu tena mkoa mwingine.
jeshi hili hili au la awamu ya tano?Nenda Polisi utasaidiwa! Hata mi nilipoyeza Samsung Galaxy Note II nikawasilisha IMEI kituo cha Polisi.
Polisi ilinisaidia hadi kunipa gari na askari kwa gharama zao kumfuata mhalifu tena mkoa mwingine.
ShukraniNenda Polisi utasaidiwa! Hata mi nilipoyeza Samsung Galaxy Note II nikawasilisha IMEI kituo cha Polisi.
Polisi ilinisaidia hadi kunipa gari na askari kwa gharama zao kumfuata mhalifu tena mkoa mwingine.
Shukrani mkuu, nitajaributumia huduma ya find my iphone(ipad) kujaribu kuitrack. si wezi wote ni smart kujua kama kuna icloud na mambo mengine
tafuta kifaa chengine cha apple download app ya find my iphone eka details za ipad yako ujaribu kuitrack
Aah ah ah, "Bangi nyeusi"!Katafute ulipo poteza
Umesomeka mkuuNenda polisi utasaidiwa IMEI ndio kila kitu unaipata kiulaini tu
Duh, basi tumeendelea! Nitazingatia ushauriNenda Polisi utasaidiwa! Hata mi nilipoyeza Samsung Galaxy Note II nikawasilisha IMEI kituo cha Polisi.
Polisi ilinisaidia hadi kunipa gari na askari kwa gharama zao kumfuata mhalifu tena mkoa mwingine.
Nenda Polisi utasaidiwa! Hata mi nilipoyeza Samsung Galaxy Note II nikawasilisha IMEI kituo cha Polisi.
Polisi ilinisaidia hadi kunipa gari na askari kwa gharama zao kumfuata mhalifu tena mkoa mwingine.