MALISA92
Senior Member
- Aug 29, 2013
- 148
- 56
Wakuu nakumbuka kama, kuna mtu alishawahi kupost jinsi ya kuchakachua hizi modem za Huawei e303 hiLink ambazo hazina dashbord ile inayotumika ku connect kama ilivyo kweny E173 na ZTE au modem nyingine bali zinatumia browser itakayokuwepo katika computer ili kupata sehem ya ku connect na ku disconnect....
ila sikumbuki procedures vizuri..sasa ili kuepeuka kuzika modem yangu nimeomba kama kuna anAyeweza kunipatia ile link au kunipa yale maelekezo tena. (Huenda nimekosea maelezo KIDOGO ila samahanini kwan me sio mataalam saana wa haya mambo)
Asanteni.
ila sikumbuki procedures vizuri..sasa ili kuepeuka kuzika modem yangu nimeomba kama kuna anAyeweza kunipatia ile link au kunipa yale maelekezo tena. (Huenda nimekosea maelezo KIDOGO ila samahanini kwan me sio mataalam saana wa haya mambo)
Asanteni.