Habari wanajamvi...Hivi karibu kuna document nilikuwa nina shida nayo sasa nimeipata ita tatizo ni kuwa Hizo dociment zipo katika mfumo wa microsoft word,mimi nikifungua zinanitaka niweke password...
Wana jamii...
Naomben msaada wa namna ya ku unlock bootloader ya samsung device kwan nilijaribu kuinstall rom nyingine simu ikanipa ujumbe wa could not boot normally ikastack hapo hapo had utoe...
wadau ninataka kudesign website yangu, sasa naomba kuuliza ni kampuni gani ni nzuri sana kwa utengenezaji wa websites hapa nchini. nitashukuru kwa majibu yenu.
Habarini za jioni wana jukwaa,
Nimemaliza kidato cha NNE nikiwa competent katika HTML na CSS na tayari nimefanikiwa kuanzisha project zangu 2 za website. Nimeanza kujifunza java Siku chache...
Wataalamu wa IT mtusaidie
Mathalani nataka kusafiri kutoka Dodoma Kwenda Dar es Salaam... hebu undeni kampuni ya kukatia tiketi... kuwe na App ambayo naingia naweka details za ninakotoka na...
Msaada jinsi ya kubadilisha fonts za application ya ifont.
Wana JF naombeni msaada jinsi gani niweze kubadili muundo wa maandishi uliopo kwenye application ya ifont kurudisha kwenye fonts za...
Ingawa hii story inahusu how Yahoo fall naamii ina mengi mno ya kutufundisha kwenye nyanja mbalimbali za maisha.....mbali na technology tu na business...
The rise and fall (OK — mostly fall) of...
Wakuu huwa nafanya voice overs, then someone hunisaidia kufanya editing. Kwa sasa nilikuwa nataka mwenyewe ili sauti ambayo inasikika, clear na ni high quality.
Nimefanya noise reduction...
msaada kwa mwenye uwezo wa kufix net framework ya 3.5 katika windows 8 mana kuna baadhi ya software nashindwa kuinstall kwa sabab ya net framework ya 3.5 haiwekwa kutumika katika windows 8
Nimedownload na kuinstall hii app kwenye computer ila sikumbuki password zake tena.
Naombeni kama kuna mtu anajua anipe msaada huo wa kutoa hayo mafile kwenye folder locker.
Natanguliza shukurani.
Wadau nilipolwa smartphone yangu na vibaka siku kadhaa zimepita na mpaka hapa nimekwenda kulipoti police but sijapata muhafaka jinsi ya kuweza kuipata, msaada toka kwenu ni njia gani muhafaka...
Habari za leo wakuu, ninataka kudownload file la windows 8 kupitia torrent, lina ukubwa wa 3.77 GB. alafu niliweke kwenye flash, kisha ni install, naomba mnijuze nina hitaji kufanya nn ili...
Nimepiga window mpya jana katika PC yangu, lakini nashangaa toka nipige hyo window naletewa huu ujumbe baada ya kuingia internet nashindwa kuelewa nini tatizo, nimejaribu kutmia browser tofauti...
Naombeni msaada wa maelekezo yenu juu ya aina gani nzuri ya Printer kwa ajili ya kusafishia picha za digital studio na bei zake. PRINTER YA KISASA KABISA ITAKAYONIWEZESHA KUFANYA BIASHARA KWANI...