ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,683
Habari wanajamvi...Hivi karibu kuna document nilikuwa nina shida nayo sasa nimeipata ita tatizo ni kuwa Hizo dociment zipo katika mfumo wa microsoft word,mimi nikifungua zinanitaka niweke password na mimi password siijui!! Msaada wakuu nawezaje kutoa password hizo?