SMS, call, whatsup aplication

SMS, call, whatsup aplication

alsam

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
232
Reaction score
351
Habari wana Jamvi,

Naomba kujuzwa kama kuna application yoyote inayoweza kutrack SMS and whatsup
 
No application will work .. I can teach you how to do it bila application only5000/=
 
Haipo bado wazungu wanaumizaa vyichwa kuhusu hloo japoa wanaona side effect yake ni kubwa mana wengi watakufa kwa presha
 
HOW TO SPY ON SOMEONES SMS SECRETLY

Step one: Make sure u have the victims phone wid u
Step2...Thru ur victims phone,visit www.devicesettings.com
One secret thing abt this site ni kuwa mtu haezi gundua chochote.Ukiingia kwa hio web,kitu cha kwanza utaambiwa ni kuwa eti there are no jobs,usishtuke,hii iliekwa ili yule mwenye simu labda akiona hio web history na aingie,atafkiri ulkua watafuta kazi online.
Usijali,we scroll chini kabisa ya hio site,ukifika chini,utakutana na "settings" click hio,kisha hio app itaji download kwa hio phone.Hio app ndo inaitwa devicesettings. ni ndogo kama 352kb
Step 3...baada ya kudwnload,install it.Hio app haitapatikana kwa home screen,Bali utaipata kwa widgets.
Step4: nenda kwa widgets,utaona hio device settings,drag it to ur home screen,click OK afu u register wid da email u will use to spy on dat phone.Ukimaliza,utaambiwa da device z registered.Hio app itapotea

Nenda kwa downloads ufute hio app ili asigundue

Hio app hataiona ng'o, it will b running at da background.Endapo atafika kule kwa widgets,a click hio device settings,da only thing ataona ni device name yake na phone numbers.Hivyo basi haezi gundua kua una mspy.

Ukimaliza yote,mregeshee phone yake.

Wewe sasa nenda kwa website ijulikanayo kama
www.smsshadow.com
Ukiingia,u must first sign up/register.Make sure da email u registerd ni ile ile uliotumia kule kwa phone ya wenyewe.

Baada ya Ku regista,log in.
Nb,kama utaingia kwa hio website,ingia na desktop version...ila ukiingia na compyuta mambo shwari

Ukisha log in,nenda kwa features....hapa wachagua kile wataka kukiangalia,SMS zake,calls zake,webs alizoingia etc...yani everything kwa phone yake.

Ila,SMS pekee ndo bure kuona,hizo nyingine utalipia kwa 3.99$ a month,hio ni kama shillingi 400 za Kenya
Lakini pia kuna trial uta click pale kuona hizo features.

Kwa vile cc umuhimu ni SMS ,na ni bure basi hatutalipia hizo nyengine.Mi mwenyewe sijalipa,nasoma tu SMS za watu

Kuna mahali juu itakubidi uchague device unayotaka kuiangalia,eg demu wako,weka namba yake.
NB,dis trick pia waeza itumia kwa phone nyingi,ilimradi uliwaekea ile device settings.

Uki select device,SMS zake zote utaziona zikimiminika,

Ni kazi rahisi sana.

Mwisho,hii spy ni nzuri kumdaka demu tapeli,mtoto wako mkorofi hasa wale wa porno au kudhulumiwa,mabeste zako etc....

Ukiwa na swali,inbox ndiko kwangu,Clever Hare

Ila staki niskie mtu alianguka na presha za eti kumbe demu wake ni wa wote
 
hiyo rahisi tu.... m nnayo 1 naitumia na haulipii wala nn, utaona sms, picha, calls plus location yake... ila ukitaka kusoma whatsup yake lzm cmu iwe rooted kwanza... if u serious ni PM... ila uwe na moyo mgumu
 
Ile application ya vault sasa hivi inafanyaje kazi? Nimejaribu ku install ili ni hide some sms and contacts ila inataka ni download app ya sms ili iwe default kwa sim yangu ndio vault itaweza kufanya kazi!

Ajabu nilidowload vault na hiyo app ya default sms ila bado inasumbua kufanya kazi, sms zinaingia kwenye inbox ya kawaida.

Wakuu wa teknolojia huku nipeni msaada kama kuna alternative app iliyo effective.
 
Back
Top Bottom