kama umeshadowload unaweza kutumia program kama power iso ili uweze kutengeneza flash kwa ajili ya kupigia window yaani ( usb bootable drive) , unachotakiwa ni kufanya yafuatayo
- kwanza file lako la window linatakiwa liwe kwenye iso ili uweze kutengeneza hiyo flash
- then una run hiyo program(power iso) "as administrator" baada ya kuinstall
- alafu unaclick "tools" kwenye menu bar
- Then "create usb bootable drive"
- itakuletea dialog box nyingine ambayo utaweza kulocate file lako lilipo na kuchagua aina ya flash ambayo unataka kupigia window
- baada ya yote hayo then unaclick "start"
- itakapomaliza mpaka 100% itakua tayari kwa kupigia window