Aurelio_CSM
Member
- Oct 14, 2014
- 57
- 22
Habarini za jioni wana jukwaa,
Nimemaliza kidato cha NNE nikiwa competent katika HTML na CSS na tayari nimefanikiwa kuanzisha project zangu 2 za website. Nimeanza kujifunza java Siku chache zilizopita kwa kutumia application ya solo learn. Ninataka nisome java pamoja android apps development ili niweze kutengeneza app kwa ajili ya hizi project zangu mbili. Tatizo ninakumbana nalo ni kuwa toka nimeanza kusoma nipo shallow sana kiasi kwamba nakumbuka syntax chache sana. Naombeni ushauri wenu nitumie njia zipi kusoma languages zote ninazotaka kwa urahisi huku nikipata mazoezi ambayo yatasaidia hizi code ziweze kustick kichwani. Ninatumia sana internet na pia sio mpenzi sana wa videos naomba kuelekezwa njia yoyote itakayonisaidia kujifunza huku nikipractice ninachojifunza mud a huo. Nia Yangu ni kukamilisha hizo project zangu mbili pia ninataman angalau nitakapoingia college niwe intermediate kidogo wa hizo languages ili niweze kusolve realllife problems kwa ujuzi Huu. Asanteni sana
Nimemaliza kidato cha NNE nikiwa competent katika HTML na CSS na tayari nimefanikiwa kuanzisha project zangu 2 za website. Nimeanza kujifunza java Siku chache zilizopita kwa kutumia application ya solo learn. Ninataka nisome java pamoja android apps development ili niweze kutengeneza app kwa ajili ya hizi project zangu mbili. Tatizo ninakumbana nalo ni kuwa toka nimeanza kusoma nipo shallow sana kiasi kwamba nakumbuka syntax chache sana. Naombeni ushauri wenu nitumie njia zipi kusoma languages zote ninazotaka kwa urahisi huku nikipata mazoezi ambayo yatasaidia hizi code ziweze kustick kichwani. Ninatumia sana internet na pia sio mpenzi sana wa videos naomba kuelekezwa njia yoyote itakayonisaidia kujifunza huku nikipractice ninachojifunza mud a huo. Nia Yangu ni kukamilisha hizo project zangu mbili pia ninataman angalau nitakapoingia college niwe intermediate kidogo wa hizo languages ili niweze kusolve realllife problems kwa ujuzi Huu. Asanteni sana