Nashukuru, niko niani kwenda Polisi.1. Toa taarifa mapema sana Polisi. Inaweza ikakutwa eneo lingine la tukio na ikakuletea shida.
2. Polisi haphapo utapata maelekezo ikiwa ni pamoja na details mbalimbali watakazohitaji ili kui-trace. Note: ukiwa na IMEI kazi itakuwa rahisi sana
Kosa lako hiyo simu hukujianaa kuibiwa, simu ya kisasa kama hiyo mtu akiniibia labda akatumia nchi nyingine baada ya kuiflash lakini ukiitumia bongo lazima nikutie mkononi.Nashukuru, niko niani kwenda Polisi.
IMEI ipo mabali kidogo, ni lazima nisafiri kwenda kuipekenyua.
So nafanyaje ili hiyo IMEI itumike niipate?
Msaada kiongozi. Nifanyeje ili niipate. Ndio faida ya kuwa JFKosa lako hiyo simu hukujianaa kuibiwa, simu ya kisasa kama hiyo mtu akiniibia labda akatumia nchi nyingine baada ya kuiflash lakini ukiitumia bongo lazima nikutie mkononi.
Wapigie tigo customer care wape taarifa kua umeibiwa simu unataka kujua imei number yake. Ukiwatajia namba yako ya simu iliyokua inatumika kwenye hyo simu watakutajia imei number.Nashukuru, niko niani kwenda Polisi.
IMEI ipo mabali kidogo, ni lazima nisafiri kwenda kuipekenyua.
So nafanyaje ili hiyo IMEI itumike niipate?
Thanks, hope the same inawezakana pia kama nikiwapigia Voda.?Wapigie tigo customer care wape taarifa kua umeibiwa simu unataka kujua imei number yake. Ukiwatajia namba yako ya simu iliyokua inatumika kwenye hyo simu watakutajia imei number.
Yah inawezekana ukiwaeleza vzr mkuu..wakikataa ni wamekubania tu bt i hop hyo number huja renew bdo coz kama ume renew itasoma imei ya simu ya sasahiv unayotumia. Tumia simu nyingine kuwapigia watajie ile namba yako iliyopotea na simu watakutajia imei numberThanks, hope the same inawezakana pia kama nikiwapigia Voda.?
Noted. wamenisomea mkuu.Yah inawezekana ukiwaeleza vzr mkuu..wakikataa ni wamekubania tu bt i hop hyo number huja renew bdo coz kama ume renew itasoma imei ya simu ya sasahiv unayotumia. Tumia simu nyingine kuwapigia watajie ile namba yako iliyopotea na simu watakutajia imei number