The Giant
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 504
- 96
Wakuu huwa nafanya voice overs, then someone hunisaidia kufanya editing. Kwa sasa nilikuwa nataka mwenyewe ili sauti ambayo inasikika, clear na ni high quality.
Nimefanya noise reduction, compression, equalization na normalization ila bdo
Nimejaribu kurekod kwa kutumia PC, na hizo ndo kelele nilizozpata.
Nahitaji mwenye ufahamu na hii program
Nimefanya noise reduction, compression, equalization na normalization ila bdo
Nimejaribu kurekod kwa kutumia PC, na hizo ndo kelele nilizozpata.
Nahitaji mwenye ufahamu na hii program