kuna mda unaweza kujiuliza uwa watu walio pewa mamlaka wanafanyaga nini katika majukumu yao.tumeona mamlaka nyingi zikiendesha kwa mazoea na moja yapo ni tcra kushindwa kusimamia makampuni ya...
Natafuta Line za Halotel (za chuo) nipo mwanza,mwenye kufahamu sehemu zinapopatikana maana nimezisaka sana ila sijafanikiwa kuzipata "ushirikiano tafadhali"
Wakuu, poleni kwa majukumu ya kujenga nchi. Kwa unyenyekevu mkubwa kabisa, ninapenda kufahamu kutoka kwa anayejua aina nzuri ya camera kwa ajili ya video shooting, hasa inayozalisha High...
Habari za mida hii wadau,
Sasa tupo kwenye Vunja bei ambayo huwezi hata amini,tunahost domain kwa specification hizi
1GB disk space
40GB bandwith
Unlimited database Disk.
Unlimited email lists...
Wadau Habari za wikiend na poleni na misukosuko ya maisha,
Ninahitaji laptop nzuri aina ya DELL yenye specification angalau hizi
HDD kuanzia 500GB
RAM 3-4 GB
Processor 5i
Na vingine kama kuna Mtu...
Tovuti mashuhuri na maarufu inayolist torrent ya kickass torrent au kat.cr imefungwa na serikali ya Marekani pamoja na mmiliki wake kukamatwa huko Poland. Tovuti hiyo iliyojipatia umaarufu na kuwa...
Za leo ndugu.
Mwanzoni mwa mwaka 2013 nilipata message kwenye namba yangu ya voda kwamba your mobile number won 2000Pounds from NOKIA UK ANNIVESARY PROMO. Nilitumiwa hiyo message na +44... ambayo...
9:00am - wake up, get the android on the side of the bed to check news on jamiiforum and millardayo;
9:20am - take a shower;
9:30am - track bugs from last night code;
10:30am - check todo...
1- Kali Linux
It is a penetration testing tool which uses a variety of techniques just to check the limits of security policies and procedures. Kali Linux should be the part of every professional...
Kwa wale wajuzi wa na wapenzi wa PC games, mtakuwa mnajua kuwa kuingiza game kwenye pc wakati mwingine inasumbua ikiwa ni pamoja na kuleta baadhi ya maneno wakati wa kufungua au kuingiza game...
Wana jf naomba kujua bei ya kioo cha samsung s3 full cha ndani na cha nje...maana kioo changu kimeharibika na jinsi nilivyoperuzi nimegundua kuwa ata mimi naweza kuitengeza mwenyewe hivyo kwa...
Nauliza naweza pata kwa bei gani na wapi mi niko mwanza graphic card ya asus f8s series
1GB NVIDIA 9650GT VGA
GRAPHIC CARD G96-650-C1 for asus f8s series
Htc desire 616
Screen touch hairespond kabisa.
Sony xperia P LT 22i
Ukiwa unaicharge haiingizi chaji,inaweza ikajaa lakini ghafla inaashoot down to 0%.
Nadhani tatizo ni battery au charging...
Wakuu nashukuru sana maana nimefanikiwa baada ya kuchukua nashauri yenu nimeyafanyua kazi na sasa nimefanikiwa Ku install windows tayari na enyoy,,ila kama kuna MTAALAMU Naomba msaada wa...