Nahitaji laptop nzuri

Nahitaji laptop nzuri

Uncertainty

Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70
Reaction score
27
Wadau Habari za wikiend na poleni na misukosuko ya maisha,
Ninahitaji laptop nzuri aina ya DELL yenye specification angalau hizi
HDD kuanzia 500GB
RAM 3-4 GB
Processor 5i
Na vingine kama kuna Mtu ana duka ama anafahamu duka zuri aniambie ipi inapatikana na kwa bei gani au anipm
 
Wadau Habari za wikiend na poleni na misukosuko ya maisha,
Ninahitaji laptop nzuri aina ya DELL yenye specification angalau hizi
HDD kuanzia 500GB
RAM 3-4 GB
Processor 5i
Na vingine kama kuna Mtu ana duka ama anafahamu duka zuri aniambie ipi inapatikana na kwa bei gani au anipm
Bajet yko ngap
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom