God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,790
- 3,020
Za leo ndugu.
Mwanzoni mwa mwaka 2013 nilipata message kwenye namba yangu ya voda kwamba your mobile number won 2000Pounds from NOKIA UK ANNIVESARY PROMO. Nilitumiwa hiyo message na +44... ambayo hiyo ni country code ya UK kweli wakanipa na email yao wakaniambia ni contact nao kwa hiyo email kwa maongezi zaidi na namna ya kupokea mkwanja wangu.
Ni kweli nilishakuta sehemu fulani kuna kuingiza namba ili uingie kwenye shindano so sikujiuliza sana maana nilihisi ni kweli nimeshinda.\
Basi nikaendelea kuwasiliana nao tuu huku wakitaka niwape details zangu kama birthday, phone numbers, job etc.
Baada ya process kuisha ilibakia tuu kupokea pesa, kwa sababu mimi niko africa na wao wako uingereza nkawaambia watumie western union ili wanitumie pesa zangu wakagoma wakasema mpaka niende huko mwenyewe au nimtume mtu afike hapo physically kwa ajili ya ku apply some fees na deduction ya kodi ili nipokee pesa yangu. Nikawaambia kama ndo hivyo kateni tax na hayo malipo mengine yanayohitajika halafu itakayobaki mnitumie kwa western union.
Wakagoma kabisa, nika kaa kama mwana nikawatext tena, hapa walichelewa ku reply ila walinijibu, huyu bwana bado aliendelea na msimamo wake.
Basi nikakatab shauri kabisa ila zile conversation ninazo hadi leo.
Leo nimepata nyingine hii imesema +1.... your mobile # has won 1,000,000 Dollars in T.MOBILE PROMO USA, to claim send your... hapo walitaka niweke details zangu kama kawaida.
Ni kweli niliwahi shiriki kwenye mtandao flan ivi unaitwa lottery... nishasahau ila hapa niliweka namba zangu na kujibu maswali yao ili nikishinda wawasiliane nami, kwa kweli ni mda kama mwaka uliopita hivi.
Chakushangaza nimepokea hiyo message kutoka namba ya tanzania ya voda +255.. sasa hapa najiuliza kwa nini wasinitumie hio message wenyewe?? naona huyu ni mwizi tuu baadae ntawasiliana nae.
Katika uchunguzi wangu nikaingia google na ku google promotion za hayo makampuni. Daa nlichokikuta ni balaa, nimekuta malalamiko kibao, ni mitandao inayohusika na hizo biashara imepinga. Message zote ni scam, wazungu kibao wameshaliwa humu! na wame contact wahusika wakuu na hao wahusika wamepinga na kusema hawahusiki wala hawaja fanya hizo promotion.
Kumbe siko peke yangu bwana. Kuna mtanzania nae kaliwa na T.MOBILE wenyewe wamejibu malalamiko yake vizuri, waweza fungua hii linkhttps ucheki hiyo conversation.
Hali ni ngumu sana hapa duniani.
Tuwe makini watanzania wenzangu, hakuna kitu cha bure, vya bure vinauwa wala haviji kwa njia hizo.
Please wataarifu na wengine kwani matapeli wamezidi sasa na wanatumia trick kali sana za kisayansi, wamejiandaa kukujibu, pia wakati wanaogea na wewe wanasoma saikolojia na udhaifu wako wanaingiza changa la mawe machoni.
Mwanzoni mwa mwaka 2013 nilipata message kwenye namba yangu ya voda kwamba your mobile number won 2000Pounds from NOKIA UK ANNIVESARY PROMO. Nilitumiwa hiyo message na +44... ambayo hiyo ni country code ya UK kweli wakanipa na email yao wakaniambia ni contact nao kwa hiyo email kwa maongezi zaidi na namna ya kupokea mkwanja wangu.
Ni kweli nilishakuta sehemu fulani kuna kuingiza namba ili uingie kwenye shindano so sikujiuliza sana maana nilihisi ni kweli nimeshinda.\
Basi nikaendelea kuwasiliana nao tuu huku wakitaka niwape details zangu kama birthday, phone numbers, job etc.
Baada ya process kuisha ilibakia tuu kupokea pesa, kwa sababu mimi niko africa na wao wako uingereza nkawaambia watumie western union ili wanitumie pesa zangu wakagoma wakasema mpaka niende huko mwenyewe au nimtume mtu afike hapo physically kwa ajili ya ku apply some fees na deduction ya kodi ili nipokee pesa yangu. Nikawaambia kama ndo hivyo kateni tax na hayo malipo mengine yanayohitajika halafu itakayobaki mnitumie kwa western union.
Wakagoma kabisa, nika kaa kama mwana nikawatext tena, hapa walichelewa ku reply ila walinijibu, huyu bwana bado aliendelea na msimamo wake.
Basi nikakatab shauri kabisa ila zile conversation ninazo hadi leo.
Leo nimepata nyingine hii imesema +1.... your mobile # has won 1,000,000 Dollars in T.MOBILE PROMO USA, to claim send your... hapo walitaka niweke details zangu kama kawaida.
Ni kweli niliwahi shiriki kwenye mtandao flan ivi unaitwa lottery... nishasahau ila hapa niliweka namba zangu na kujibu maswali yao ili nikishinda wawasiliane nami, kwa kweli ni mda kama mwaka uliopita hivi.
Chakushangaza nimepokea hiyo message kutoka namba ya tanzania ya voda +255.. sasa hapa najiuliza kwa nini wasinitumie hio message wenyewe?? naona huyu ni mwizi tuu baadae ntawasiliana nae.
Katika uchunguzi wangu nikaingia google na ku google promotion za hayo makampuni. Daa nlichokikuta ni balaa, nimekuta malalamiko kibao, ni mitandao inayohusika na hizo biashara imepinga. Message zote ni scam, wazungu kibao wameshaliwa humu! na wame contact wahusika wakuu na hao wahusika wamepinga na kusema hawahusiki wala hawaja fanya hizo promotion.
Kumbe siko peke yangu bwana. Kuna mtanzania nae kaliwa na T.MOBILE wenyewe wamejibu malalamiko yake vizuri, waweza fungua hii linkhttps ucheki hiyo conversation.
Hali ni ngumu sana hapa duniani.
Tuwe makini watanzania wenzangu, hakuna kitu cha bure, vya bure vinauwa wala haviji kwa njia hizo.
Please wataarifu na wengine kwani matapeli wamezidi sasa na wanatumia trick kali sana za kisayansi, wamejiandaa kukujibu, pia wakati wanaogea na wewe wanasoma saikolojia na udhaifu wako wanaingiza changa la mawe machoni.