Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

wadau habari,naomba kujuzwa jinsi ya kuinstall Net Framework ya 3.5 kwenye pc yangu
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wataalam naomba mnisadie..nikiweka line ya vodacom kwenye phone ya galaxy note 4 haiko detected kwasababu sipati majina niliyosave kwenye line wala sipati option ya sim card kwenye contacts to...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu simu tangu aina ya techno c8 inaniandikia memory full ata kama inaonyesha kuna free space hata mb 200, nini tatizo na nifanyaje?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapendwa naomba kusaidiwa kujua ni app gsni nitumie ku root simu yangu masna nimejaribu kingroot imegoma, naomba wataalamu mnisaidie
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu yangu kama una swali lolote kuhusu iphone au ipad zenye iOs version yeyote, niulize nitakujibu.
1 Reactions
45 Replies
6K Views
Habari wana jf, Nina simu yangu nokia 2690. Naipenda sana. Ila nilikua na install apps kubwa kubwa inakubali. Nili install opera mini hadi 8.1 ikakubali ila haikuchukua mda ikacollapse, imefuta...
0 Reactions
81 Replies
17K Views
Leo nataka tufanye analysis/ uchambuzi juu ya hivi visimbusi. Ni kipi bora kwa muonekano wa channel??? Kipi kina channel nzuri??? Kipi kina local channel bure bila kulipia?? Kipi kina vifurushi...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
wadau habari,naomba kujuzwa jinsi ya kuinstall Net Framework ya 3.5 kwenye pc yangu
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za za saa hizi wana jf naomba msaaada jinsi ya kuweka PIN KWENYE pc
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Poleni majukumu wakuu? Nina simu yangu aina ya galaxy s3 nikiiweka tu kwenye chaji lazima ijiwashe na haiwezi kuchaji ikiwa imezima, mwenye kujua jinsi ya kusolve hii case anisaidie.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi ninaomba msaada wa jinsi ya kupata spam messages zilizofutika katika email yangu. Nilifanya application under NACTE na password pamoja na username Vilitumwa ktk email yangu Kama spam...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Mimi natumia modem ya tigo huawei e303 nimejalibu kui unlock iwe inatumia mitandao yote nimeshidwa. Kwa anaejua naomba anisadie maana nimeteseka kweli.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Simu yangu nikivuta notification pale juu inakataa.ila NIKI rotate ikawa kiupande inakubali kushusha notification.. Ikiwa landscape mode inakataa.. Nini suluhisho
0 Reactions
0 Replies
721 Views
Salam ndugu zangu. Mimi ni mwanafunzi wa Computer science mwaka wa kwanza. Nataka ku base kwenye mambo ya security, database, app development, web creation na upande wa server. Mimi nataka...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Habarini....Itakumbukwa kuwa nilokuja hapa na Thread ambayo nilielezea jinsi yule jamaa alivyo niibia baada ya kunambia angeniuzia Mackbook pro kwa Laki 2.5! yule jamaa anae jifanya anatokea...
6 Reactions
31 Replies
7K Views
habari zenu wadau. nahitaji msaada. hivi simu ina maana gani pale nikipiga na yenyewe kuniandikia INVALID NUMBER ? Nitashukuru sana.
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Njia kumi za kutunza chaji katika simu yako kudumu muda mrefu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hey guys mimi nahitaji kuwa mmojawapo wa hackers hatari zaidi duniani,je ni course zipi za kusomea ambazo ni za muhimu for someone to become a hacker ? Msaada tafadhali
1 Reactions
35 Replies
8K Views
Habari wakuu! Naombeni mnipe maujanja ya nisipelekwe youtube app ninapokuwa ninastream kwa kutumia browser ya Opera Mini,shida yangu ipo hapo tu kwenye opera mini,browser nyingine kama default...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom