Hyo tapatalk naipata kwenye store au aje
Ni kweli kabisa hata muungwana pia sema chief mkwawa aliwahi nielekeza nitumie Rss Ili niweze pata update ya muungwana Na mengineyo but nilishindwa Kama Kuna kwenye. Uelewa atuwekee Na hiyo kitu hapa ILA tukumbushane Na vitu vizuri kwa window phones wadaukweli,nasi tunahitaji App ya JF kabisa kwani watumiaji wa window phone tu wengi humu ndani. Tapatalk haina radha