Msaada: Kutengeza kadi za mchango kwa njia ya WhatsApp

Msaada: Kutengeza kadi za mchango kwa njia ya WhatsApp

WENYELE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,466
Reaction score
1,558
Habari wakuu.
Mdogo wangu anafunga ndoa mwezi wa 11 sasa nimeona niulize kwa wataalam kama naweza vipi kutengeneza kadi za mwaliko na mchango na nizisambaze kwa njia ya WhatsApp maana ndugu na marafiki wengi wako WhatsApp,je nitumie njia gani kutengeneza kadi za mwaliko na nizisambaze kwa njia ya WhatsApp?
 
Sisi waTZ kwa michango ya harusi mmh...
 
Kikao cha maandalizi ya harusi ya Bw Silus M. Jacob kilichoketi jana tarehe 28/03/2016 kinawatangazia ndugu, jamaa na rafiki wa karibu na familia hii kuwa kinakuomba kupunguza/kuwasilisha mchango wako ili kufanikisha maandalizi ya harusi hii inayotarajiwa kufungwa mwezi julai, 2016 jijini Mwanza.
"Kolosai 3:23-24"
Tunapokea kwa upendo mchango wako kupitia
namba zifuatazo:-
1. 0719 680 146 Jacob Silus
2. 0756 361 761 Jacob Silus
3. 0766 466 892 Masalu Masalu
 
Haina Ushemeji, Tunakulaga[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji23][emoji23]
 
Si mkuu alitangaza omba omba muondolewe dar..? inakuaje wewe bado unasurvive au ndo mmebadilisha style saivi mnatumia whatsapp. .
 
Huyo mdogo wako atachangia mke na mnaowaomba mchango?

Taifa la ma ombaomba.
1470970470535.jpg
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Ni rahisi....nenda sehemu wanayotengeneza kadi. Wambie unataka kadi but iwe SOFT COPY.

So wakishatengeneza watakuwekea kwenye FLASH. Itakua kwenye mfumo wa picha. So unaweza kutuma kwa whatsapp kama image

Alternatively wanaweza kukupa kwa mtindo wa document.... kwahiyo utaituma whatsapp kama document.
 
Back
Top Bottom