Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,120
- 7,912
Habari JF...ambae ashawai tumia j2 ikoje??? Apart from its known au common specifications e.g 4gb....naomba kujuzwa...
Ubora wake....range ya price pia...unataka ujue nini?
ubora kwa maana ya build quality ni nzuri na range ya bei ni 275,000 inaweza shuka kidogo au kupanda kidogo.Ubora wake....range ya price pia...
Anha thank uubora kwa maana ya build quality ni nzuri na range ya bei ni 275,000 inaweza shuka kidogo au kupanda kidogo.
ila kuna version ya 2016 ambayo ni nzuro zaidi itaingia madukani muda si mrefu sema sidhani kama itakuwa bei hio hio
Ya 2015 au 2016???? Vepee kune camera???? Sema me naonaga samsung kune camera cjui inakuaje yan kadri version mpya znavotolewa bas za nyuma quality ya camera inazd kufifiaMie ninayo j2..Iko Pouwah xaana... Samsung wako poa saana
ipo slow? juu hapo unaona alama gani? E au G au 3g au H au H+Samsung j2 inanisumbua sana kwenye internet jamani naomba mwenye uzoefu anisaidie pia katika hili pia
Juu ipo H mkuuipo slow? juu hapo unaona alama gani? E au G au 3g au H au H+
Ya kwangu mimi haisupport 4GIv io j2 does it support 4G???
labda mtandao wako upo slow jaribu kubadili mtandaoJuu ipo H mkuu
yap inasuport 4g sema ipo version ya 3g na 4gIv io j2 does it support 4G???
Heee io ya 4G ni ya 2016?...au kuna za 4G pia za 2015?yap inasuport 4g sema ipo version ya 3g na 4g
4g za 2015, yako ni ipi? j200H ndio haina 4g nenda setting halafu about kujuaHeee io ya 4G ni ya 2016?...au kuna za 4G pia za 2015?
Kune = kwenye.Ya 2015 au 2016???? Vepee kune camera???? Sema me naonaga samsung kune camera cjui inakuaje yan kadri version mpya znavotolewa bas za nyuma quality ya camera inazd kufifia
thank u...najua its kwenye....but nshazoea tu ilo neno(kune)Kune = kwenye.